Nini Kimeikumba UDSM? Universities bora afrika 2018

Nini Kimeikumba UDSM? Universities bora afrika 2018

Sasa hivi si chuo tu hata elimu ya chini kama sekondari imeshuka kutokana na vijana MAPENZI yamechukua nafasi kubwa katika bongo zao na kusahau wajibu wao...
 
Sasa hivi si chuo tu hata elimu ya chini kama sekondari imeshuka kutokana na vijana MAPENZI yamechukua nafasi kubwa katika bongo zao na kusahau wajibu wao...
Kwani zamani Mapenzi hayakuwepo?
 
Weather = hali ya hewa
Wether = kama
Weather = hali ya hewa (ya siku kwa siku)
Whether = kama

Wether = ???? ‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️
 
Now day mkombozi na muwakilishi aliyebaki nchini na anayetolewa macho yote kwenye upande wa elimu ni UNIVERSITY OF DODOMA
Dodoma wako shalo sana mkuu,labda wanawakilisha kanda ya kati
 
Kama chuo kinahangaika na watoa taarifa za nyufa za majengo yake na kuwasimamisha wanafunzi kwa maelekezo ya walioko juu huo ubora utatokea kwenye nini
Wakati wenzao wanafanya tafiti za kitaaluma wao wapo busy kuchunguza nani anampinga na kumkosoa Rais wamfukuze. Chuo chenyewe ndio mtaji wa wanasiasa wa hovyo waliokosa misimamo.
Kama Kabudi, Mpango, Kitila, Muhongo, Luoga, Maboko, Mgaya, Ndalichako, Tulia....njoo kwa wahitimu wake Rais, Mwigulu, Lipumba, Chenge wanatokea hapo, ni chizi tu ndio anaweza kukiweka top 3
Hiiiiiiiiiiii........wakati watu wanataka watambuliwe kwa kufanya ugunduzi
 
Chuo cha UD, baada ya kuvunjwa vunjwa na kutoa matawi mengi kimepoteza uwezo wa kushika nafasi zake za juu katika rankings hizo. Sio kwamba ubora wake wa kitaaluma umepungua. La hasha.
UD ya zamani ilikuwa inajumuisha colleges nyingi kama vile Ardhi, Muhimbili, CoET, Mkwawa, DUCE nk.
Eti UDOM chuo cha kata, wapi mzumbe, SUA, SAUT, TUMAIN, bado udsm itakojozwa tuu.
 
Back
Top Bottom