Nimepata mchumba Mrina bar, ni kweli mwanamke anaejiuza anaweza kubadilika tabia na kuwa mke mwema?

JITU LA MIRABA MINNE

JF-Expert Member
Mar 28, 2015
726
471
N mtoto amemaliza form 4, mama yake alimsomesha mwenyewe baba yake alimkataa kisa rangi na miaka 18 anasema ni mwaka wa 4 yupo mzigoni hapo ni shida tu zinamfanya afanye hivyo namuonea huruma future yake inapotea na kupoteza utu wake.

Nimemuuliza nikimuoa nikamuweka ndani je atatulia akanijibu ndio anataka nimsomeshe sasa wazee mnanishaurije nijitoe sadaka? Na je ni kweli mtu aliepitia hayo mapito anaweza kutulia ndani.

Je hawezi kukumbushia? Je malaika wa uzinzi hawezi kumuandama maana yake nimeplan nimwamishe huku ambako wateja wake wanaishi nikajilie vyangu mbali taratibu kwa uhuru bila kufuta mdomo na kupepesa macho nani ananiona.

Karibuni wanajamvi sina marafiki mtaani zaidi yenu.
 
Mmmh ingekuwa ni kaka yangu ndo unaniletea wifi namna hiyo itabidi nikubali kuitwa wifi mnoko!
Angetaka kuacha angeshaacha miaka yote hiyo! Angeuza vitenge, angeuza nyanya angeuza chochote kihalali na si mwili. Angeshapata mtaji wa kuanza biashara ingine tofauti kwa mwenye nia ya kuacha, miaka minne unataka kuoa Its a no for me
 
N mtoto wa kimbulu mchanganyiko na ile jamii inayopenda kachori na pilipili ,
amemaliza form 4,
mama yake alimsomesha mwenyewe baba yake alimkataa kisa rangi
na miaka 18
anasema ni mwaka wa 4 yupo mzigoni hapo ni shida tu zinamfanya afanye hivyo
namuonea huruma future yake inapotea na kupoteza utu wake
Nmemuuliza nikimuoa nikamuweka ndani je atatulia akanijibu ndio anataka nimsomeshe sasa wazee mnanishaurije nijitoe sadaka?na je ni kweli mtu aliepitia hayo mapito anaweza kutulia ndani?je hawezi kukumbushia?je malaika wa uzinzi hawezi kumuandama?maana yake nimeplan nimwamishe huku ambako wateja wake wanaishi
Karibuni wanajamvi sina marafiki mtaani zaidi yenu
Muoe tu kama kakuvutia,ila usitegemee kuwa siku akiwarudia watu wake aliokuwa nao atakwambia,anaweza akachepuka maisha yake yote na usijue,wanaofumania ni bahati zao tu mkuu...
 
N mtoto wa kimbulu mchanganyiko na ile jamii inayopenda kachori na pilipili ,
amemaliza form 4,
mama yake alimsomesha mwenyewe baba yake alimkataa kisa rangi
na miaka 18
anasema ni mwaka wa 4 yupo mzigoni hapo ni shida tu zinamfanya afanye hivyo
namuonea huruma future yake inapotea na kupoteza utu wake
Nmemuuliza nikimuoa nikamuweka ndani je atatulia akanijibu ndio anataka nimsomeshe sasa wazee mnanishaurije nijitoe sadaka?na je ni kweli mtu aliepitia hayo mapito anaweza kutulia ndani?je hawezi kukumbushia?je malaika wa uzinzi hawezi kumuandama?maana yake nimeplan nimwamishe huku ambako wateja wake wanaishi nikajilie vyangu mbali taratibu kwa uhuru bila kufuta mdomo na kupepesa macho nani ananiona
Karibuni wanajamvi sina marafiki mtaani zaidi yenu
Kwanza ww ulikutana nae kanisani ndo akakuomba msaada au?
Yani tuanzie mwanzo ilikuaje kuaje mkakutana
 
Kuna jamaa yetu anaishi Moshono, yeye aliotea mrembo maeneo hayo hayo na kwenda kuishi nae kama mke na mume,. Baada ya muda kupita yula mwanamke alimsafisha msela kila kitu na kusepa zake.. Hivyo kuwa makini na hao viumbe kwani kwa sasa wanatafuta sehemu za kujisitiri kutokana na hali halisi ya maisha..
 
Kuna jamaa yangu alikutana na binti kama huyo nae alikuwa mbulu mwarabu. Familia ili pinga vibaya sana lakini mtoto alikuwa mzuri moyo wa mwanaume ulizama kabisa. Walipima HIV wote walikuwa salama wala hakuraka makuu alifanya harusi ndogo tu. Sasa wana watoto wanne na wanapendana vibaya mno.
 
Anaweza akabadilika na kua mwema ...cha msingi kama mumeshapendana fungeni ndoa.
 
Kuna jamaa yangu alikutana na binti kama huyo nae alikuwa mbulu mwarabu. Familia ili pings vibaya sana lakini mtoto alikuwa mzuri moyo wa mwanaume ulizama kabisa. Walipima HIV wote walikuwa salama wala hakuraka makuu alifanya harusi ndogo tu. Sasa wana watoto wanne na wanapendana vibaya mno.
Njoo tutunzane mkuu
 
Anaweza akatulia na akakueshimu lakini utaweza kumpa kama akitaka kila muda kama dozi maana itakuwa tayari imeshapata sugu na hayo macondomu!
 
Back
Top Bottom