Hawa watu wanatofautiana, kama ifuatavyo.
Ukiristo wa sasa alieuanzisha paulo(sauli) ni kinyume na mafundisho ya Yessu.
Lakini Ummar aliusambaza uislamu ule ule alioutoa kwa mtume Muhammad
Mimi nilikuwa na mpenzi wangu jina lake linaanzia Z na la kwangu linaanzia M mbona hatukudumu?
Ufafanuzi wakitaalamu tafadhali, kwani hii ni elimu kama ulivyo sema, hivyo ni vyema majibu yako yawe ya kielimu pia.
Jamani samahanini naihitaji kufahamu majina ya hivyo viwanda, Sehemu vilipo na vinajihusisha na uzalishaji wa bidhaa gani ili na mimi nipeleke maombi..
Hawa waliopo sasa si manabii watokao kwa mungu, bali wanatoka kwa shetani, manabii wa uongo.
Mungu alieumba mbingu na ardhi pamoja na kila kitu kilichomo mbinguni, ardhini na sehemu iliyopo kati ya mbingu na ardhi hawezi kukosea.
Zoezi la mungu kuleta manabii duniani lilikwishafungwa kwa...
We jamaa kumbe hujamuelewa kabisa Mwigulu, nakuomba uitazame mara tatu mfululizo na uwehadhiri na anachokisema neno hadi neno utaelewa.
Kuziangalia vyema sheria zinazo kinzanana maana yake nini?
When governments deliver the lies and excuses for their grotesque actions most people are ready to accept them because they want to believe the lies are true. They call it `HUMANITY`
This kind of humanity is like a husband who knows his wife is being unfaithful, but is desperately trying to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.