Recent content by Nyamsusa JB

  1. Nyamsusa JB

    Urusi imeingia kwenye 18 ya Marekani, dunia ijiandae kuona majimbo mapya ya Marekani katika ardhi ya Urusi

    Kaisha jichukulia majimbo yake manne. Awe na papara za nini ?
  2. Nyamsusa JB

    Kenya2022 Kushindwa Kwa Raila Odinga ni pigo kubwa kwa Kenyatta, labda Mahakama itamnusuru na aibu

    Kwa Historia za siasa za Kenya itachukua muda mrefu sana kupata raisi kutoka kabila la Kijaruo. Kenyata kiuhalisia na kiintelejensia hakua upande wa Raila kwa Dhati. Kumsaport Raila ilikua ni njia Bora na Salama kuhakikisha Raila haingii madalakani kwa namna yoyote tena bila kuleta Vita na...
  3. Nyamsusa JB

    Ukiwa na hela unaanza kuona kuweka kava la simu kama ushamba

    Baadae utasema na kuvaa Condom ni ushamba. Kwa sababu designer wa mashine alibuni zityumike kama zilivyo.
  4. Nyamsusa JB

    Watanzania tufunge na Kuomba tukimlilia Mungu?

    Za kusababisha tusilipe Tozo Au za kulipa Tozo. Maombi kwa Mungu hapa hayahusiki. Ni Tulipe au Tupaze Sauti na Vitendo ili kuishinkiza Serikali Tusilipe hizi Tozo za ziada.
  5. Nyamsusa JB

    Watanzania tufunge na Kuomba tukimlilia Mungu?

    Mi nadhani tukuombee wewe Ufe kabisa. Nyinyi ndio mnaofanya wote tuonekane Wapumbavu mbele za Mungu. Mkiisha watu wenye mitazamo kama nyinyi. Mambo yatarekebika.
  6. Nyamsusa JB

    Watanzania tufunge na Kuomba tukimlilia Mungu?

    Mungu ni kila kitu lakini sio kila kitu lazima utufanyie. Kuna mambo mengi tu katupa uwezo wa kuyatenda na yakafanyika, kumbuka sisi pia ni mfano wa Mungu mwenyewe. Hata yeye anatushangaa tunapomlilia hata kwa mambo tunayoyamudu tena kwa dhati. Anatuona wapumbavu na Ataamulu watawala watutese...
  7. Nyamsusa JB

    Kwanini Wakristo sio wafanyabiashara wakubwa na matajiri?

    Usitishe watu. Unaweza kua Tajiri na bado mbinguni ukatoboa na unaweza kua masikini na mbinguni usitoboe. Kua Masikini au Tajiri sio kigezo cha kukutobolesha Mbinguni. Tena masikini ana nafasi finyu ya kutoboa kwa Mungu. Akiri ya masikini walio wengi ni Chuki, Nyongo, Fitina, Uongo, roho mbaya...
  8. Nyamsusa JB

    Afrika Kusini: Imam Muhsin Hendricks Aanzisha Msikiti kwa ajili ya LGBT Muslims Duniani

    Fahamu kua Tabia yoyote ikifuhusiwa na kukubalika kwa jamii hiyo tabia inazoeleka na kua ni tabia ya kawaida hata kama ni mbaya.
  9. Nyamsusa JB

    Naona nikienda kuwa academician, nimechoka ajira kwenye private sector

    N Nani kakwambia hawana mafao ya kazi kuisha?
  10. Nyamsusa JB

    Amenikosea badala ya kuniomba msamaha kakaa kimya tu

    Umemwaga Mboga yeye kamwaga Ugali. Ngoma droo mpaka matuta yapigwe.
  11. Nyamsusa JB

    Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

    Kufanya kazi ni lazima na ndio itakua hivyo Maisha yote. Hii ni Mungu mwenyewe kaiweka hivyo tena kasisitiza Na Asiyefanya Kazi Na Asile. Kimsingi wewe leo hutakiwi kula kwani hujafanya kazi. Kazi ni Lazima, hapa itatofautiana tu kati ya kazi ya kuajiliwa au kujiajiri. ya kutumia Nguvu zaidi au...
  12. Nyamsusa JB

    Makabila yenye mafanikio (kasoro wachaga), sehemu walizotokea hazina maendeleo kwasababu wanaogopa kurogwa wakitaka kurudi kufanya maendeleo

    Mtoa mada ana point. Hii ndivyo ilivyo kwa sehemu kubwa. Mfano Ukerewe imetoa Wasomi wengi tena wengine ni maprofessor na wengine wana nafasi kubwa kabisa tena za kisiasa, wengeweza kutumia nafasi zao na Ushawishi wao kuiendeleza Ukerewe (UK) lakini wanaogopa. Kule ukijipelekapeleka...
  13. Nyamsusa JB

    Most admired brands in Africa, hakuna brand ya Urusi hata moja

    Russia Brand yake ni Mafuta na Gesi. Dunia nzima sio Africa tu tunaitambula.
  14. Nyamsusa JB

    Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

    Kuna yule wa Igoma Mwanza wakuitwa Muhili Obale muite sasa jina lake uone balaa lake. Anaitika robo saa nzima. Hiyo ilikua Radio Free Africa.
Back
Top Bottom