Burundi kwa ujumla
1. Tembea na kitambulisho chako wakati wote maana wanaume ni lazima uwe na kitambulisho wakati wote kule,
2. Gharama za maisha sio kubwa kivile, chenji hela zako mapema kiasi ili usisumbuke ingawa pia wanakubali malipo ya Tshs
Machache niliyoyaona mimi huko last year...
Wageni hawazuiliwi kuwepo nchini kikazi, lakini kwa kazi za namna hii sheria za nchi zinazingatiwa kweli??? Wana vibali vya kazi ?? Usalama wa nchi ni kazi ya kila mwananchi, unaweza ajiri mmalawi mshamba tu kumbe wewe ndio mshamba maana anaweza akawa secret agent
Tuwajibike sote kulinda nchi yetu
Vip angekuwa mtoto wako angekuwa amenusurika ama amebakwa kabisa ungesema sentence hii???
Kama huna mtoto huwezi kuelewa uchungu wake,ni sawa tu swala la mtu kufiwa,ambaye hajafiwa huchukilia poa tu ilakwamtu alyefiwa anaelewa hali halisi,
Duu mwana umenikumbusha mbali sana, Kuna siku nikadandia Moro to Dar kipindi mabasi yalikuwa yanalala Moro, kunguni na mende walikuwa ndio wenyeji wa abiria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.