Bashungwa acha kumdanganya mkuu wa nchi, umeona deamenor yake. Kanda ya ziwa wana kitu moyoni

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
1,126
4,168
Nimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.

Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.

20220609_184645.jpg
 
Nimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.

Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
View attachment 2255606
Sukuma gang mnatapatapa Sana ila ndio hivyo no way out ,hiyo ngoma hadi 2030..

Ikifika 2025 usije kupotea humu.
 
Watanzania wengi bado ni mafala Sana Kwahiyo kanda ziwa unaona ni tume ya uchaguzi?

CCM hawashindi uchaguzi Kwa njia ya kura hata kama kanda ziwa mtachagua vyama vingine mwisho WA siku atatangazwa Tu mgombea WA CCM.

Nani kakudanganya kuwa CCM wanategemea ukanda?
 
Nimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.

Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
View attachment 2255606
Sukuma Gang hawaamini kua Uraisi ni ofisi na sio Magufuli
 
Watu wa kanda ya ziwa wana kitu moyoni
So what? Watu na Lindi na Mtwara walimkataa JPM ila kuna Jimbo hata moja CUF au ACT walimzidi kura JPM?

2025 kama hamna tume huru hizi ni kelele tu na nakuhakikishia hakuna team JPM atapenya kura za maoni na hamtokua na la kufanya.
 
Nimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.

Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
View attachment 2255606

mkuu wa nchi, hata uwaziri wa jinsia hana uwezo nao. Kikundi cha watu wachache kimempa nchi. Joyce banda wa malawi ninamkumbuka​

 
Nimekucheki unaongea pumba mbele ya mkuu wa nchi. Wewe ni unajifanya hujui kusema kweli? Kwa nini usikae kimya.

Unaona kabisa deamenor ya mkuu wa kaya hapo Bukoba hainyonyeshi kuwa anakubalika kanda ya ziwa alafu unaweka uongo wa kumpamba.
View attachment 2255606
Naona chawa wa mama wamepanic, to be Neutral SSH, ana kazi kubwa Kanda ya ziwa ndo ukweli
 
Ayatolah huna jipya. Lindi na Mtwara wana impact gani kwenye siasa za hapa Tanzania.

Unakumbuka kuwa watu wa kaskazini walikuwa hawamtaki Jakaya 2005? Lakini kanda ya ziwa wakampa urais.
sio kanda ni tume ya uchaguzi ndio inayotoa uRais Magufuli angepigwa chini mapema kama mngekua na choice ya kuchagua.
 
Back
Top Bottom