Natembea na mke wa mtu, mume wake kanionya mara 3

Endelea nae tuu maana huyo Demu lazima atakuwa pisi tuu!! Kama watu wawili wote mmemuona yeye tuu....Ila akirudi usisahu kutuletea mrejesho maana wafumaniaji tuna mbinu nyingi za kufumania huenda jamaa yupo maeneo anakuvizia tuu...Kakupoteza s.A ili ujiachie Akuvishe shanga vizuri.
 
Endelea nae tuu maana huyo Demu lazima atakuwa pisi tuu!! Kama watu wawili wote mmemuona yeye tuu....Ila akirudi usisahu kutuletea mrejesho maana wafumaniaji tuna mbinu nyingi za kufumania huenda jamaa yupo maeneo anakuvizia tuu...Kakupoteza s.A ili ujiachie Akuvishe shanga vizuri.

Na kwanini mfumanie sasa? Mnaua ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe!
Natania tu!
 
Hii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.

ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.

Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.
Andaa mafuta, andaa taulo la kujifutia anza kujifunza style za kuinama mapema...... Anaekula Cha mwenzie na chake uliwa..... UTAKULWA UTANYWEWA SUPU UTABEBWA KWA BEGA
 
Endelea nae tuu maana huyo Demu lazima atakuwa pisi tuu!! Kama watu wawili wote mmemuona yeye tuu....Ila akirudi usisahu kutuletea mrejesho maana wafumaniaji tuna mbinu nyingi za kufumania huenda jamaa yupo maeneo anakuvizia tuu...Kakupoteza s.A ili ujiachie Akuvishe shanga vizuri.
Hapana yupo South hata namba alionipigia niyasauzi
 
Chief, huwa kuna streets rules na sheria za nchi, za nchi ndio ile mtu unasikia kafungwa, kapelekwa police n.k

Sheria za mtaa kwa kesi hizi za wake wa watu maamuzi huwa ni mawili tu,

1. Marinda huwa hayabaki
2. Ndio huko unaposema nimekimbilia

Umenielewa?
Dah Sawa
 
Hii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.

ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.

Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.
Tutakuja kwenye matanga usijali endeleeni tu
 
Hii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.

ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.

Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.

Kama bado hajakutoa marida, basi jiandae kutolewa.
 
Umepewa onyo bado husikii acha tu ufir** akili ikukae sawa na uje umalizie ile story yako ya kubumba.
 
Back
Top Bottom