na kuoa vibinti vya miaka 13 ni udhaifu wa dini gani? suala hili la herein hata haliendani na masuala ya dini zilizoletwa na wazungu na waarabu(wakoloni) ni suala la uafrika ni mila za baadhi yetu...sasa tatizo liko wapi
mihemuko ya watendaji wanaotaka vyeo wapo wengi sana wanaomtukana raisi na wananchi kwa kutotekeleza majukumu yao ,ufisadi na wizi lakini wanapewa mifagio kufagia hospitali ama kweli mpaka simba atakapoweza kuandika historia itaandikwa na mwindaji.....
Na watanzania walioenda shule hawajaelimika,wanasaliti taaluma zao ndo maana mfumo mzima umeoza.si maaskofu,waalimu,mawaziri,makonda,wanafunzi nakadhalika wote ni mazao ya mfumo uozo!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.