WA1;Sikumoja nilitaka kutoka out na mke wangu nikampigia cm akapokea hakusema halooo na mie nikauchuna hadi crediti zikaisha.
wa2;aah we cha mtoto tu mimim kuna day nilirudi home ucku nikagonga mlango mke wangu akanifungulia lkn hakusema karibu mmewangu nikasimama mlangoni hadi asubuhi kisha...
Haki za msingi za binadamu ni zipi? na kama zikivunjwa natakiwa kuchukua hatua zipi na sehemu gani?
haki hizi zimeanza lini na zinapatikana ibara ipi katika katiba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.