Poa mkuu,mimi nitahitaji tray tatu tu,ila ni by mid of october,maana kwa sasa niko nje kidogo,na ukweli nimeonja nyama ya hawa ndege,dah ni balaha,ila mayai yao ndio sijafanikiwa kuyapata kwa huku nilipo sasa (U.K)nataka nije nitotoleshe nianze kuwafuga mkuu,nchi yetu Tanzania ni nzuri sana na...