Shamba la mtoni linauzwa Kilosa Morogoro

Shamba la mtoni linauzwa Kilosa Morogoro

1800

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
2,215
Reaction score
612
Wadau hasa kwa wale wanaotaka kuwekeza kwenye kilimo,kuna shamba la heka 70 lipo karibu na mto linauzwa,shamba ilo lipo katika kijiji cha Unone,wilayani Kilosa katika mkoa wa Morogoro,lipo karibu na makazi ya kijiji na shule ya msingi,ni kama kilometa 6 toka barabara kuu ya lami ya Dumila - Kilosa!bei ni shilingi 250,000/= kwa heka,maelewano yapo kidogo,kwa wanunuzi walio serious wanaweza kuni PM au kunipigia kwa 0713-670026 au 0784-670026
 
Duh .... napafahamu huko ni kuelekea vijiji vya mageleko na mtega .... ardhi yake nzuri sana ... njegere zinakubali
 
Duh .... napafahamu huko ni kuelekea vijiji vya mageleko na mtega .... ardhi yake nzuri sana ... njegere zinakubali

Ni kweli mkuu,ardhi yake iko poa,mazao aina nyingi sana yanakubali!kumbe umeizunguka Tanzania mkuu!
 
Mods nadhani ili linastahili kwenda kwenye jukwaa la matangazo madogo madogo au la wajasiliamali!na mkuu 1800 maeneo hayo ndio wanayofanya kilimo cha umuagiliaji maji?
 
Mods nadhani ili linastahili kwenda kwenye jukwaa la matangazo madogo madogo au la wajasiliamali!na mkuu 1800 maeneo hayo ndio wanayofanya kilimo cha umuagiliaji maji?

Mkuu kilimo cha umuagiliaji ni uamuzi wa mhusika,maana chanzo cha maji ambacho ni mto Msowelo kipo karibu kabisa na shamba husika,na kumbuka mto Msowelo uwa ahukauki mwaka mzima,so ni uamuzi wa mhusika kulima mwaka mzima au kulima kipindi cha mvua tu
 
Vipi kuhusu umiliki wake, najua halina hati lakini vipi kuhusu ushaidi wa kijiji na viongozi kuwa ni lako, au vipi ukoo, maana kuna mashamba ya ukoo yanauzwa alafu unaona moto wake naitaji heka 5.
 
Vipi kuhusu umiliki wake, najua halina hati lakini vipi kuhusu ushaidi wa kijiji na viongozi kuwa ni lako, au vipi ukoo, maana kuna mashamba ya ukoo yanauzwa alafu unaona moto wake naitaji heka 5.

Mkuu taratibu za uuzaji wa mashamba huku ni lazima kuhusisha serikali ya kijiji na majirani waliopakana na shamba liuzwalo,maana wao ndio wanaojua mmiliki halali wa shamba husika!
 
Mkuu ilo shamba bado lipo?lipo maeneo ya kijijini Unone kabisa au?ni karibu na shule ya msingi??je kama bado lipo siwezi pata kwa 240,000/= kila heka iwapo nitahitaji zaidi ya heka 10 please?natarajia kua Tanzania mwishoni mwa wiki ijayo
 
Mkuu ilo shamba bado lipo?lipo maeneo ya kijijini Unone kabisa au?ni karibu na shule ya msingi??je kama bado lipo siwezi pata kwa 240,000/= kila heka iwapo nitahitaji zaidi ya heka 10 please?natarajia kua Tanzania mwishoni mwa wiki ijayo

Nicheck kwenye cellphone please!shamba lipo Unone Kijijini ndio!
 
Kuna yule mdau wa Dar aliyenipigia jioni hii na kumuahidi nitampigia ili kumpa mrejesho wa makubaliano ya bei naomba anipigie tena,maana bahati mbaya namba yake siku save!
 
Mkuu mashamba ya kawaida yasiyokua karibu na mto ya kilimo cha kawaida hayawezi patikana kwa maeneo ya huko hasa Msowero?
 
Mkuu mashamba ya kawaida yasiyokua karibu na mto ya kilimo cha kawaida hayawezi patikana kwa maeneo ya huko hasa Msowero?

Mashamba ya kawaida kwa Msowero yapo mkuu,kuna heka 20 zilizo kama Km moja na nusu kvoka barabara kuu ya lami,hizi zinauzwa 250,000/= kwa heka,na kuna heka 50 zilizo kilometa 6 toka barabara kuu hizi ni Tsh 180,000/= kwa heka
 
Mkuu nakupigha toka juzi simu yako haipatikani!je naweza pata heka zote 70 kwa 210,000/= ?naomba nijulishe ili next week nije tufanye biashara
 
Mkuu nakupigha toka juzi simu yako haipatikani!je naweza pata heka zote 70 kwa 210,000/= ?naomba nijulishe ili next week nije tufanye biashara

Mkuu pole kwa kutonipata!ni kweli siku tatu,nne hivi nilivuka mipaka ya nchi ndio maana nilikua sipo hewani,heka zote 70 kupata ni ngumu kidogo,maana kuna heka chache zimeshachukuliwa
 
Mkuu bado shamba lipo? kama lipo naomba unicontact via dis no 0762283253 nina usongo sana na kilimo sema mtaji ndo mdogo naomba msaada wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom