Toyota Mark X 2006 inauzwa

Toyota Mark X 2006 inauzwa

Somehow u right mkuu ingawa upande mwingine i dont agree with u!gari kua na miaka mingi ndani ya Tz haimati sana,kinacho mata ni mtumiaji alikua vipi!i bought toyota rav 4 na ilikua na miaka zaidi ya 10 kwa Tanzania,lakini mpaka leo naitumia na iko safi kabisa!kinacho matter nadhani ni ukaguzi wa maana kabla ya kuinunua!

najua mtu anayo hio gari since 2008 na bado iko safi kabisa engine na bodi....miaka sio issue....tena yako nimeona umeandika ina 78,000km hio bado saana,kama kuna mteja wa kweli atanunua tu
 
yeah ungeweka na picha ingekuwa nzuri zaidi...hao wanaodai eti 6 yrs kwa tanzanian soil ni bad pia sikubaliani nao gari ni utunzaji tu mwingine gari mwaka mmoja haitizamiki kwa jinsi alivyo rough so isikukatishe tamaa....muhimu upload pics nadhani utapata mteja fasta

Poa mkuu,nadhani by wednesday nitakua nimesha upload pics
 
najua mtu anayo hio gari since 2008 na bado iko safi kabisa engine na bodi....miaka sio issue....tena yako nimeona umeandika ina 78,000km hio bado saana,kama kuna mteja wa kweli atanunua tu
Ofkoz miaka sio issue mkuu,issue ni matunzo
 
Back
Top Bottom