tatizo la wadada walio wengi wakiwa kwny age fulani wanajua hatatoka katika hiyo age anakuja kushituka kafikisha miaka 29 hana mchumba xaxa anaaza kuforce yoyote yule atakeye kuwa mbele yake wakati huo anayemwambia maswala ya ndoa nikweli hajajiandaa amejiandaa kutafuta mali si mke dada zangu...
kukimbia family si suruhu la tatizo utawatesa watoto wako na hata wakikua wakajua uliwakimbia hatakuelewa kama mke amekushinda mtengane ili uwe na amani fikilia watoto wako si mke wanawake si saba duniani eti kila mtu anawake amua vyema upate mema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.