Recent content by nyambulinyambuli

  1. N

    Kilichonikuta jana Bar

    mama ameniambia nikae kimya
  2. N

    Yanayoendelea maofisini kwa wake za watu ni balaa!

    yasiyokuhusu achana nayo mgeni gani mubeya hivyo tena mwanaume
  3. N

    Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

    kwahiyo hata mama yako ni tom boy si hakuna wanawake
  4. N

    Wadada tusilazimishe ndoa

    tatizo la wadada walio wengi wakiwa kwny age fulani wanajua hatatoka katika hiyo age anakuja kushituka kafikisha miaka 29 hana mchumba xaxa anaaza kuforce yoyote yule atakeye kuwa mbele yake wakati huo anayemwambia maswala ya ndoa nikweli hajajiandaa amejiandaa kutafuta mali si mke dada zangu...
  5. N

    Kosa kubwa lilikuwa ni kumuoa huyu mwanamke

    kukimbia family si suruhu la tatizo utawatesa watoto wako na hata wakikua wakajua uliwakimbia hatakuelewa kama mke amekushinda mtengane ili uwe na amani fikilia watoto wako si mke wanawake si saba duniani eti kila mtu anawake amua vyema upate mema
  6. N

    Nashindwa kumwambia kuwa mdomo wake unatoa harufu

    mwambie ukweli na kweli itakuweka huru huoni kama inakuumiza xana pia hakuna mwanamke anayependa mdomo wake unuke msaidia ndugu yako
Back
Top Bottom