Polisi wasitumike katika siasa na kuegemea upande wa chama chochote wanatia haibu na wanadharaulika na itafika kipindi polisi watashindwa kuishi uraiani na familia zao wajalibu kuona mbali
Tatizo la Nape kwenye hili umejikanyaga sana,mala chadema mala mafisadi naomba tueleweshe hao mafisadi niwa ccm au nao niwa chadema?acha kukurupuka mtauwana wewnyewe kwa wenyewe na kuvuana ngozi mpaka mkome.au unaongelea waliomvua mwakyebe ngozi?lakini hao siyo magaidi
Habari za kwenye kanga hazitakuletea maendeleo,kama unataka ushauri kawafuate wahusika wapo ambao ni ben na zitto.wao wamekataa wewe unataka nini km vipi tengeneza na wewe move urushe yutube
Aliyesa ya Lusinde katoa vielelezo sasa tatizo likowapi na wewe ukitoa vielelezo?alafu swala la fani ya mtu nadhani siyo tatizo ila tatizo ni uchagiaji hoja,kwani mchemba hajasoma mbona anaongea utumbo mwanzo mwisho?Vick kamata ni mcheza ngumi? mbona mziki wa sugu unawatoa povu?yule mganga wa...
Mh sisi kuweza kwetu ni kukubali kukatwa kodi kuwapa watawala na wao watutimizie matakwa yetu,hakuna cha pamoja tusidanganyane wao watatue matatizo maana kodi wanazo siyo kuwa matajiri wakishakua wanasiasa
Mimi nadhani ni misifa tu maana hakuna mwenye mpango wa kugonga au kufanya lolote wakati ana walinzi,umefika muda sasa waangalie usalama wao na waaskali pia wanaowapitisha watawauwa wote kisa misifa ambayo haina maana,nimeona hata magereza wameanza huo ujinga
Katika maisha yako ulisha muona mama maria nyerere,mama mkapa au mke wa mwinyi wanapitishwa na msafara askali wanaloa barabarani na wakati mwingine anaenda saloon,Tanzania imebaki masalia siyo linchi tena
Sasa wewe muda wote unalea wale wazee unataka akuone muda gani wakati hao wazee ujawalisha kwanza?na ulipokuja ulifikia kwa nani maana inavyoelekea huna ndugu huku Tanzania.
Kama huna la kuchangia nyamaza,sasa hapo porojo ziko wapi kwa uelewa wako mdogo,usitake akili ndogo itawale kubwa,ukweli unabaki pale pale jeshi limeoza na hapo nikama amegusa kidogo maana vituoni walishageuka miungu watu.walishajiweka kwenye chama tawala wanajua hawafanywi chochote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.