Asa si mpaka wakosee... Time ndo hii, achukue remote mchana kweupee co et ad battery zifail....
Atafeli yeye sasa... Chezea Vasco ww, hv haukusikia kile kitegemezi kilivodhihirisha kuwa remote wataiacha miaka 200 mbele? Hapo ad yeye kajipigia mahesabu na wazawa wake. Mwenzako nje kajifunza...
Natafuta kitufe cha kulike sikioni....
Ile barabara wametufadhili kwa kutukopesha..... Na kwa kuwa ile ni Bank bac mkopo wake una masharti..... Huwez jua, lbd km kitu mlichokubaliana hakijawa mutarudia na deni liongezeke ad akili zikae sawa...
We ungekuwa ushawai hata kulipa ada ya chekechea kwa pesa yako hata usingesema hayo..... Pesa bila kujua inaenda kufanya kazi gani ya msingi kwa mtoaji inauma bwana, hata kama ni buku.
Suala la kutokea hizo gharama halina uhusiano na elimu bure..... Kwani ina uhusiano na ada iyo...
Nyerere mwenyewe alijifanya mgumu mwishowe akasanda... Ila jamani cku iz kuna fb, WhatsApp, emails, telephones, Skype na namna kibao za kuwasiliana...... Atumie tu WiFi ya mjengoni kwa uthibitisho wa mabalozi wa sehemu husika kutembeza bakuli.....
Tanzania bila kuomba inawezekana ila baada ya...
Kweli watu munaona mbali.... Huu ndio uchambuzi wa kisiasa hasa ingawa sio lazima hayo mambo yatokee kwa 7bu hakuna nabii zama hizi....
Nimependa uchambuzi huu ingawa mambo yanaweza kuwa kinyume Mh. Prezda akiatuka... Nashauri awe anapitia JF, kuna ma-Lincoln humu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.