Ukweli ni kwamba wamekua watu wa kulialia tu hamasa hakuna hawajengi tena hoja imebaki kuokoteleza tu yaani imekua matatizo mfano miaka uliotaja movement for change m4c opalation sangala kweli walikua wanapendeza Leo mmmm ujinga mtupu tuhoja twa kuokoteza wamefeli wamebakiza mipasho tu kama...
Kilichoandikwa hapa mmezidi kujilegeza zaidi ya wasichana tunatamani tuzae watoto wa kike kuliko nyinyi wa kiume kwani mnaaibisha zamani shoga tulikua tu najua hakusoma leo hii na wenye vyetu bora wa kike kuliko hii mijitu inayo kazwa kutwa kucha haiwezi kazi ngumu inabeba mabegi mchana kutwa.
bora ukalale kabisa wazungu hao unaowatakwa kwao wanaandamana kila siku kupinga nchi zao keapa waafika misaada wana sema waafrika wavivu hawataki kufanya kazi Leo wanaona kabisa mnavyofanya kazi harafu waweke vikwazo ili mkawaombe subutu hapa kazi tu wewe kila rangi utaiona safari hii ila umoja...
Toka lini mtu akajijiua yeye ni mpumbavu haiwezi kutokea ila tunamtambua mtu mpumbavu kwa vihoja vya kuokoteleza tumewaambia 16%hapo hakuna kitu kilicho fanyika?nyie wapiga mizinga .
Hisa inakua hisa kwahiyo unataka kusema siyo hisa tuiteje ambacho sijaelewa hapati mgao? au anapata dalaja kitu gani?mdaraja yote nimadaraja tu hadi f nidaraja hapo hoja hakuna kuna 16%swali lilikua wewe hujaona kitu kimefanyika?
Kila mgodi hisa 16%×3=48 haya siyo mafanikio? unajua tupo sisi tuliokua tunafanyakazi kmcl badae barrick badae accacia Zito ni porojo hana jipya ukiona ana piga kelele hivi njaa imempiga hapewi tena bahasha kama zamani Rais magu kathubutu na anaweza.
Jipya kwa zitto hakipo tofauti na porojo na ndiyo maana watu hawastuki wanamjua vema ,hata kwenye hoja ya buzwagi aliitosa chadema nao wakamtosa siyo wa kumuamini hata kidogo.
Kwanza nakupongeza sana salary slip kwa mtazamo wako najua kesho unaweza kua pay slip swali langu kwako mgodi huu ni mpya au ni wa zamani?kama ni wa zamani na kuna hisa 16 kila mgodi hujaona kazi imefanyika hapo kama ni hapana ungekua wewe ulitamani wazungu hawa wakupe nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.