Barca wanakwambia hivi kama itawabidi kuuza wachezaji watauza lakini La masia graduate hawauzwi."they are the future for the club".Ndo maana kina Traore wanarudi mpaka Alcantra walikuwa wanamtaka.
Habari wanajukwaa.
Naomba kujua mtu anayesoma Electrical Engineering anaweza pia kuwa mtaalamu wa umeme wa kwenye Magari?
Kama sivyo mtu anayehusika na marekebisho ya gari likipata changamoto ya umeme anakuwa amesomea nini??
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.