Maoni yanngu dhidi ya uteuzi wa mama Salma J. Kikwete nafasi ya Mbunge na Mhe Rais John Pombe Magufuli.
Kwanza lazima tufahamu Rais wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania ni Mkuu wa nchi, kiongozi wa serikali na Amri Jeshi Mkuu.
Kwa mjujibu wa katiba yetu ibara ya 36 kifungu cha (2) kinasema...
Naposema Tanzania ni nchi ya mfano wa ki-demokrasia nahusisha moja kwa moja na chimbuko la mamlaka ya dola ambalo ni wananchi wenyewe. Serikali ya Tanzania imepata uhalali wake kutokana na wananchi kupitia katiba, vilevile kushiriki kwa wananchi katika maamuzi kuhusu mambo yanayogusa maslahi yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.