Tatizo la viongozi wengi katika serikali wanasubiri mpk kila kitu waambiwe na namba moja. Yaani ata kutekeleza baadhi ya majukumu yao wanashindwa .wamejawa hofu na ndio wanamkwamisha mpendwa namba moja wetu.nashukuru juzi aliwachana pale bandarini.
Wanabodi nachukua fursa hii kuwatakia afya njema. Nami naomba nichukue fursa hii kutoa maoni yangu juu ya yale aliyoyazungumza Mh. Jesca Kishoa mbunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA na mke halali wa mwanasiasa David Kafulila.
Mapema katikati ya wiki hii David Kafulila ambaye alikua mwanachama...
Hii ni political propaganda inaruhusiwa kabisa kwakua ni vyama hivi viwili vyenye ushindani wa hali ya juu. MFANO ni rahisi kwa simba kumsajili mchezaji kutoka yanga wakidhani wanabomoa yanga wakati huo huo kuna mchezaji wa lipuli au mbao ana uwezo sawa na yule waliemsajili kutoka Yanga.
Umesema sahihi sana.Naomba nichangie kwenye ili la utitiri wa vyombo vya habari.
Ingawa uwepo wa vyombo vingi vya habari unatoa fursa za ajira kwa wananchi wenzetu.Lakini ni wakati wa kuangalia sheria ya uanzishwaji wa vyombo hivi.Sasa hivi imekua kama "fasheni" kila mkoa kuwa na either kituo...
Wakuu heshima kwenu.
jumuiya ya wanasheria nchini inatarajiwa kufanya uchaguzi baadae mwezi huu kupata viongozi mbalimbali watakao ongoza jumuiya hiyo kwa muda husika kikatiba.
Tofauti na chaguzi zingine zilizopita za jumuiya hii( TLS) ,uchaguzi huu umeonekana kuingiliwa na watu ata ambao sio...
Mkuu Paskali una uhakika upi kuwa bandiko lako ndio lilisababisha ongezeko la uteuzi wa wabunge wanawake? Je huoni kuwa ongezeko lilikuja baada ya mkuu kugundua kuwa ameenda kinyume na katiba hivyo kumfanya amteua mbunge mmoja wa kiume kuwa balozi ili asionekane kavunja katiba.
Pili hoja yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.