Ifahamu Mamlaka ya Kudhibiti Madini Tanzania (TMAA) iliyotumbuliwa na Rais Magufuli

Tutashikana uchawi sana, lakini naamini tumefikishwa hapa na mfumo wetu wa utawala, serikali, bunge na mahakama. Bunge letu limekuwa ni sehemu ya serikali. Wajibu wake wa usimamizi limeuweka pembeni. Kelele za matatizo ya hujuma kwenye madini zilipigiwa siku nyingi na wapinzani bungeni. Mkuu mmoja aliwahi kusema mikataba inatakiwa iangaliwe upya. Alipoenda marekani kurudi akawa bubu. Hakuna mbunge aliewahi mkumbusha mpaka miaka yake kumi inaisha.
 
Daaa hii habari nimeiangalia na
Kuisikiliza kwenye tivi hii nchi bhanaa basi tu ingekuwa mkoa mi nigeihamaaa kbsaaa yani inatia uchunguuu KBS wachache ndiyo wanaifsidi hii nchi
 
Pamoja na yote Watendaji wa TMAA kuna uzembe wa makusudi umeonekana. Tanzania tuna tatizo moja tunapokuwa makazini kila mtu hataki kuwajibika ila anachojua ni kufunika mambo kwa CEO aonekane anafanya kazi.
 
Mein kempf bodi nimeona kama ifuatayo

Chairman Charles Abel Sabuni
Wajumbe: Dr Evelyn M. Richard
Dr Augustine Hangi
Dr Isaac Muneji Marobhe
Ndg Fatuma Chillo
Ndg Casmir Faustine Nkuba

Uko sawa , hawa wote unachanganya na management. Wote lao moja, ila bodi hao uliowataja ni kweli
 
View attachment 513733View attachment 513734View attachment 513735View attachment 513736

Malengo Makuu ya Tanzania Mineral Audit Agency (TMAA).
Hii ndio mamlaka iliyopewa dhamana na watanzania kuhakikisha mamambo ya madini yanaenda sawa kwa kadri ya sheria na kanuni za nchi, ila matokeo yake , imegeuka na kuwa kaa la moto kwa watanzania baada ya kuwa dalali wa kuidanganya serikali na kuiibia mapato yake halali ya madini,

Mh. Rais JPM kaivunjilia mbali bodi yake ya management . Hongera sana mh Rais.
  • Kuhakikisha kuwa serikali inapata mapato ya kutosha katika sekata ya madini kupitia shughuli za madini na utunzanji mazingira unaotokana na kazi za kuchimba madini nchini Tanzania.
  • Aim of TMAA
    To facilitate maximization of Government revenue from the mining industry through effective monitoring and auditing of mining operations and ensuring sound environmental management in the mining areas.

    Our Mission
    To conduct financial and environmental audit as well as auditing of quality and quantity of minerals produced and exported by miners in order to maximize benefits to the Government from the mining industry for sustainable development of the Country.

    Our Vision
    To be a centre of excellence in monitoring and auditing of mining operation
Miiko na kanuni zao za kazi:
  • Wana amini katika kufanya kazi kwa uaminifu na uadilifu wa kiwango cha juu ili kuhakikisha kuwa serikali inapata mapato yake yanayotokana na kazi za uchimbaji madini Tanzania.
KAZI ZA TMAA NI KAMA IFATAVYO:
  • Kusimamia na kukagua madini yote (aina zote) yanayozalishwa na kusafirishwa nje ya nchi ya Tanzania.
  • Kutoa taarifa za kitaalamu juu ya uwepo na upatikanaji wa madini katika maeneo mbali mbali ya nchi.
  • Kutoa bei za madini kwa kadri ya bei ya soko kwa wadau wa madini Tanzania.
  • Kuhakikisha ubora na kiwango / kiasi cha madini aina zote yazalishwayo Tanzania.
  • Kufanya tafiti mbali mbali za kitaalamu kuhusu madini na faida zake kwa serikali
  • kuishauli serikali juu ya mambo mbali mbali ya kitaalamu kuhusu madini.
Zifuatazo ni idara mbali mbali zinasomamia mambo ya madini
Tanzania kupitia TMAA , na zote hizi zilishindwa kung'amua kuwa kulikuwa
na udanganyifu mkubwa katika taarifa mbali mbali za makampuni ya uchimbaji madini.

View attachment 513747
Ifatayo ndio timu nzima ya uongozi wa juu wa iliyokuwa TMAA ambayo leo imetumbuliwa, waome na uwajue hadi kwa sura zao.


Management Team

View attachment 513724

Eng. Dominic Rwekaza
Chief Executive Officer



Eng.Gilay C.Shamika
Director of Minerals Valuation and Laboratory Services



Mr. Thadei Sijaona
Director of Information and Communication Technology



Mr. Emanuel P. Sumay
Director of Environmental Monitoring and Auditing



Mr. Elikana Petro
Director of Business Support



Eng. Jumanne Mohamed
Minerals Production and Export Monitoring Manager

Mr. Venance B. MwaseAg. Director of Financial Auditing and Analysis

View attachment 513723

Mr. Julius Z. Moshi
Planning and Research Development Manager

Mr. Andrew Mwangakala
Data Analysis and Management Manager


Eng. Mvunilwa R. Mwarabu
Laboratory Services Manager

Mr. George B. Kaseza
Mineral Valuation Manager

Mr. Malimi Magashi Mawe
Head of Internal Audit Unit

View attachment 513721
Mhhh mijitu iliyoshiba haswaaaa, watakuwa matajiri sana, sidhani kama kuna anayekaa nyumba ya kupanga hapo. Hongera mh rais kwa maamuzi na wafuatiliwe.
 
Lakini kwa nini WAZUNGU WATUIBIE , wafunge tu makablasha yao waondoke tutachimba wenyewe kama wenzetu Botswana,wanatudanganya na mikopo yao ,SHAME,SHAME,,SHAME
 
Tumieni Hekima Kudscus Mambo Km Haya Co Kudhihak Hao Wa2 Kwenye Picha . Me Nmeckiliza Hotuba Ya Rais, Haya Mambo Yameanza Muda Mrefu Tangu 1998, Kunauwezekano Wao Pia Waliikuta Hyo Destur. Na Hyo Menegment Ni Watu Wadogo Sn Kwa Serikali Ya Tz, Labda Walishaur Ila Hawakukubaliwa? Wanasiasa Ndo Wanao Sababisha Matatizo Kote Duniani. Me Benafsi Ningeshaur Wajiuzuru Km Kuwajbka2 Ndo Maana Rais Ametaka Vyombo Vya Dola Kuendelea Kufatilia Labda Wakajua Mengi Japo Ni Hatari Pia Kwa Usalama Wao, Lkn Wanaofanya Mambo Haya Ktk Nchi Hi Wapo Na Rais Anawajua Naona Anatafuta Namna Ya Kuwakamata, Huko Kujiuzur Nk Ni Kukamilisha2 Taratibu Za Serikali. Kwa Wenye Xprience Na Kaz Watakubaliana Nami, Wkt Flan Watendaj Wanatumiwa Km Maboya Ili Cku Meli Ikizama Wayatumie Kujiokoa.
 
Back
Top Bottom