Akili za kuambiwa changanya na zako,hv unajua mwanaume aliye jeruhiwa na mapenzi akili zake zilivyo?achana na ushauri wakijinga ww kaa kwakutulia mpende sana mumeo fanya kila jema kwake ataachilia tu na mtarudi km zamani
Mwanamke hata umpe nn hariziki,niliishi na mke wangu kwa upendo Sana na sikuwahi kucheat hata cku moja ila nilikuja kuelewa kwamba sio mwanifu kwangu nikaona isiwe tabu.tuliachana km masihara vile maana nilipata maumivu makali sana nikaona nikiendelea kuishi nae kuna siku nitafanya mambo mabaya...
Hiyo hali isikie tu kwa mwingine ikikufika ni hatari sana, kuna muda unakata tamaa hata ya kuishi tena maana hauoni mbele wala nyuma. Pole sana Mungu akuvushe
Kuweka hela nyingi kwenye cmu ni risk sana,mm nishapoteza 600k kwenye Airtel money kipindi kile wanaofa ya hakatwi mtu.nilienda Sana makao makuu yao ila ckupata msaada wowote kila cku ilikuwa sound tu nikaona napoteza muda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.