Recent content by Nyalumana originally

  1. N

    Kuna mengi ambayo askari wa usalama barabarani wa Tanzania wanapaswa kujifunza kutoka kwa wenzao wa Rwanda

    Hapa kwetu njaa na uhuni wa police wetu,nakumbuka nami nilikwenda Rwanda nilikaa kama mwezi but siku naingia pale Rusumo njiani sikusimamishwa popote sana sana trafiki walikuwa wakinionyesha kwa ishara ya mikono kuwa niende mdogomdogo, Kigali siku za mwanzo nilikuwa nasahau nachanganya letf na...
  2. N

    Ilitokeaje mpaka makanisa yanaruhusu unywaji pombe wakati inaleta majaribu ya kutenda dhambi zaidi na kukusogeza karibu na ulevi?

    Mimi nawaza tu, kwa kuwa serikali haina huruma nasi walevi kutokana na kutuongezea bei kila siku km kutukomoa ili ipate kodi kubwa.Kwa nini sisi walevi tusiungane pamoja nchi nzima tugome angalau mwezi bila kunywa pombe yoyote ile tuone matokeo yake hasa kwa lengo la kushinikiza viwanda...
  3. N

    Aisee, wanawake mtatunyoosha, hii clip imenifikirisha sana, naenda kupima DNA watoto wangu wote

    Serikali yenyewe inasema haitaki watoto wa mitaani.So unapima DNA ili iweje?Km mtoto si wako nani amlee.Acheni kupoteza muda na pesa bure,pambana upambanavyo mwisho wa siku serikali itakurudishia hilo toto hata km si lako as long as ulitomba bila kinga. Ndo maana wazee wa kichanga wana DNA zao...
  4. N

    DOKEZO Rais Samia, Barabara ya Ngorongoro Crater ni mbovu, Watalii wanapata ajali mara kwa mara

    Sema kuna madogo uwa wanajielewa sana akiona mambo yanakuwa magumu uomba msaada getini anawadanganya wageni kuwa kule crater anaetakiwa kuendesha ni guide wa Ncaa, hivyo akifika ofisi ya zamani anajieleza hali yake ya driving kuwa hajawahi kushuka crater wa kupanda ila hataki wageni wajue hilo...
  5. N

    Katika maisha jitahidi sana kuepuka mambo haya

    Mengine ni sawa ila namba 7 uongo kwa kweli,yaani nimtoe binti kijijini kwao hoi,nimlishe,nimvishe, anawili anone halafu atafune mwingine,haikubaliki hakika 😂😂😂😂 Kwa kweli Beki3 sijawahi kuacha,yaani nimnonoshe mimi ale mwingine?😂😂 Shemeji zangu nimekanyaga wawili kabisa;kisa shemeji aliachika...
  6. N

    DOKEZO Rais Samia, Barabara ya Ngorongoro Crater ni mbovu, Watalii wanapata ajali mara kwa mara

    Wewe ni dereva wa hovyo yaani sisi ile kona tunapita na Lori tipper imejaa kifusi zaidi ya 18tonnes na hatuchekechi,yaan cruiser ishindwe kumaliza kona?Ebu fatilia aina ya dereva wanaosabisha ajali eneo lote hifadhi;Wengi ni madereva wasiokuwa na uzoefu wa eneo husika wengi wao upewa kazi za...
  7. N

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Asante sana Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
  8. N

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Asante sana bro Mshana nimefanikiwa kama ulivonielekeza,ubarikiwe sana naona picha zinafunguuka kwa speed haswa
  9. N

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Asante sana kwa kuniondolea hofu km kilio ni wengi make nilihisi simu yangu ina,japo mie sio mtundu kwenye mambo ya simu so inabidi ni reload jf kwa kupitia browser? Naomba husinichoke bro mpk nisaidike make namiss vingi bila kufungua picha au videos Sent from my SM-G531H using JamiiForums...
  10. N

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Jambo Brother Mshana,naomba msaada wa Jf huu ni mwezi kama wa pili simu yangu kwenye jf haifungui picha yoyote,so mimi nasoma tu sms but picha hazifunguki km zamani,naomba msaada wa kuelelezwa Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
  11. N

    Uliwahi kuwaza kuua mtu? Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kupata wazo la kuua mtu

    Ndugu yangu ni mwaka wa tatu sasa toka fundi huyo akimbie na 4.5m ambazo nilizilipa kwa maumivu ya riba,nilipata kibarua sehemu ndo kilichoniokoa kumaliza deni na kubahatika kuweka madirisha mengine ila likizo yangu nilienda dodoma nilikaa wiki tatu namsaka mdogomdogo,nilimkosa ila naona roho...
  12. N

    Uliwahi kuwaza kuua mtu? Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kupata wazo la kuua mtu

    Aisee,nilikuwa na fundi ninaemuamin sana na alinijengea nyumba kadhaa mimi nikiwa mbali na ziliisha vizuri nami nilikuwa naridhirika.Sasa nilikuwa na nyumba moja niliijenga kwa shida baada ya kibarua changu kuisha but nikawa nimeezeka tu,so nyumba ilikaa muda mrefu mpk likawa chaka la...
  13. N

    Uliwahi kuwaza kuua mtu? Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kupata wazo la kuua mtu

    Aisee hata mie ningeliwaza hivyo. Duu ila humu duniani kuna maswahibu makubwa sana ni Mungu atupe uvumulivu ktk yote Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
  14. N

    Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

    Kuna boss fulani wetu alikuwa mkuda sana so badala ya kumwiita boss tukawa tunamwiita MKUU anafurahi sana kumbe sisi tulimaanisha MKUUUNDU,sasa alivyokuja kugundua tunachomaanisha kwake ilikuwa balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].So kila mtu akikuita mkuu anamaanisha...
Back
Top Bottom