Hapa kwetu njaa na uhuni wa police wetu,nakumbuka nami nilikwenda Rwanda nilikaa kama mwezi but siku naingia pale Rusumo njiani sikusimamishwa popote sana sana trafiki walikuwa wakinionyesha kwa ishara ya mikono kuwa niende mdogomdogo, Kigali siku za mwanzo nilikuwa nasahau nachanganya letf na...
Mimi nawaza tu, kwa kuwa serikali haina huruma nasi walevi kutokana na kutuongezea bei kila siku km kutukomoa ili ipate kodi kubwa.Kwa nini sisi walevi tusiungane pamoja nchi nzima tugome angalau mwezi bila kunywa pombe yoyote ile tuone matokeo yake hasa kwa lengo la kushinikiza viwanda...
Serikali yenyewe inasema haitaki watoto wa mitaani.So unapima DNA ili iweje?Km mtoto si wako nani amlee.Acheni kupoteza muda na pesa bure,pambana upambanavyo mwisho wa siku serikali itakurudishia hilo toto hata km si lako as long as ulitomba bila kinga. Ndo maana wazee wa kichanga wana DNA zao...
Sema kuna madogo uwa wanajielewa sana akiona mambo yanakuwa magumu uomba msaada getini anawadanganya wageni kuwa kule crater anaetakiwa kuendesha ni guide wa Ncaa, hivyo akifika ofisi ya zamani anajieleza hali yake ya driving kuwa hajawahi kushuka crater wa kupanda ila hataki wageni wajue hilo...
Mengine ni sawa ila namba 7 uongo kwa kweli,yaani nimtoe binti kijijini kwao hoi,nimlishe,nimvishe, anawili anone halafu atafune mwingine,haikubaliki hakika 😂😂😂😂
Kwa kweli Beki3 sijawahi kuacha,yaani nimnonoshe mimi ale mwingine?😂😂
Shemeji zangu nimekanyaga wawili kabisa;kisa shemeji aliachika...
Wewe ni dereva wa hovyo yaani sisi ile kona tunapita na Lori tipper imejaa kifusi zaidi ya 18tonnes na hatuchekechi,yaan cruiser ishindwe kumaliza kona?Ebu fatilia aina ya dereva wanaosabisha ajali eneo lote hifadhi;Wengi ni madereva wasiokuwa na uzoefu wa eneo husika wengi wao upewa kazi za...
Asante sana kwa kuniondolea hofu km kilio ni wengi make nilihisi simu yangu ina,japo mie sio mtundu kwenye mambo ya simu so inabidi ni reload jf kwa kupitia browser? Naomba husinichoke bro mpk nisaidike make namiss vingi bila kufungua picha au videos
Sent from my SM-G531H using JamiiForums...
Jambo Brother Mshana,naomba msaada wa Jf huu ni mwezi kama wa pili simu yangu kwenye jf haifungui picha yoyote,so mimi nasoma tu sms but picha hazifunguki km zamani,naomba msaada wa kuelelezwa
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Ndugu yangu ni mwaka wa tatu sasa toka fundi huyo akimbie na 4.5m ambazo nilizilipa kwa maumivu ya riba,nilipata kibarua sehemu ndo kilichoniokoa kumaliza deni na kubahatika kuweka madirisha mengine ila likizo yangu nilienda dodoma nilikaa wiki tatu namsaka mdogomdogo,nilimkosa ila naona roho...
Aisee,nilikuwa na fundi ninaemuamin sana na alinijengea nyumba kadhaa mimi nikiwa mbali na ziliisha vizuri nami nilikuwa naridhirika.Sasa nilikuwa na nyumba moja niliijenga kwa shida baada ya kibarua changu kuisha but nikawa nimeezeka tu,so nyumba ilikaa muda mrefu mpk likawa chaka la...
Aisee hata mie ningeliwaza hivyo. Duu ila humu duniani kuna maswahibu makubwa sana ni Mungu atupe uvumulivu ktk yote
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Kuna boss fulani wetu alikuwa mkuda sana so badala ya kumwiita boss tukawa tunamwiita MKUU anafurahi sana kumbe sisi tulimaanisha MKUUUNDU,sasa alivyokuja kugundua tunachomaanisha kwake ilikuwa balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].So kila mtu akikuita mkuu anamaanisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.