Kosa tulilolifanya hasa kwa sisi tulioandikisha vitambulisho 2017 na 2018 ni kutokuweka ushahidi wa ufuatiliaji wa vitambulisho.Nadhani kulitakiwa kuwepo na sehemu ya kusaini kila ukienda ofisi zao kuwa ulifika ila kitambulisho bado.Mfano mimi toka 2017 nilijiandikishia Nyamagana Mwanza...
Asante nilisoma kwa haraka kiongozi nilikuwa kwa toyo sikuona,shukrani,make ningeshangaa kwa mahotel mengi ya kitalii Karatu plus zao la biashara la ngano,mbaazi,kitunguu,mahindi,maharage na mifugo ya kila aina plus uwepo wa hifadhi ya Ngorongoro
OK tuachane na hayo ya misahafu ya kuletewa turudi kwenye uhalisia wa maisha ya mwanamke mwenye kipato anavyoweza kumnuinua mumewe kupitia kipato chake bila manunguniko au kuleta tafrani
Wanakagera kutokuwa tayari kuijega Kagera yao wanapotafutia riziki na maisha yanakuwa hapohapo mfano wahaya wameijenga Mwanza,Dar na sasa Wanazidi kuijenga Dodoma na ni wawekezaji wazuri wa maeneo yote ya nchi but sio Kagera,Kagera limebaki eneo maalum kwa ajili ya makaburi,kila Mhaya anayewaza...
Tunasema lile lenye unafuu toka enzi na enzi lile ambalo hata misahafu ya dini imeelekeza,tumezaliwa tumekuta mama zetu wanalelewa na waume kwa kila kitu na ndoa zilidumu bila malalamiko but familia za sasa zimekuwa kitendawili baada ya kuruhusu haki sawa mpk ktk utafutaji,wanawake wameingia...
Wewe ni umbwa haswaaaa,hahahaha.Niliwahai kuwa km wewe sehemu ya maporini,nilikuwa nanunua carton 2 za konyagi ili angalau nipige wiki kadhaa kabla cjarudi town but nilijikuta mzigo unakata ndn ya 2days.So toka hapo sijawahi kufanya usenge huu hata creti ya bia siwezi kuileta home na km ni...
Ukweli mtupu kaka,nimeishi na wife huu mwaka wa 18 ni mama wa nyumbani sijawahi kujutia,natoka job nakuta kila kitu kimeandaliwa kwa ajili yangu kuanzia moyo,roho na mwili,nakuta yeye watoto wananisubiri kwa hamu jioni nikitoka job,yaani ni burudani tosha,make waweza mruhusu mwanamke atafute...
Hilo wazi,mimi naamin hawa wanawake wanatakiwa kukaa home wakutunze wewe na wanao basi,Baba pambana kichwa na miguu akikisha mke na familia yako inaishi kwa raha.Tofauti na hapo ukiruhusu mke aingie nae kutafuta pesa ujue imekulamba,mfano mdogo;angalia wanawake wanaofanya biashara hasa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.