Tanzania inatakiwa ijipange upya, kama sisi wazee tumeshindwa, tuanze na watoto wetu kuwafundisha kwa umakini kuhusu umuhimu wa kuwa waaminifu kwa madogo na makubwa, kuwa waadilifu, kuwa accountable kwa matendo yetu, kuwa WAZALENDO na hatimaye kuipenda kwanza NCHI yetu na siyo mtu wala...
Siku za mwanadamu za kuishi hapa Duniani ni chache, ni miaka 80 ikizidia sana ni miaka 90 na zimejaa taabu na mahangaiko mengi. Lakini yatupasa kujipa moyo kwa kuwa kuna maisha mazuri baada ya hapa. Kwa kupitia ukurasa huu nami natuma salaam za rambirambi kwa familia yote ya Mtema, Wabunge ,JF...
Mimi naona taabu sana pale ambapo mtaalamu aliyeteseka kwa miaka mingi kusomea kazi yake, na baada ya kupata ajira anaendelea kufanya kazi ngumu ktk mazingira magumu na analipwa kidogo na baada ya kustaafu analipwa mafao yasiyofaa kwa mda usiofaa baada ya kusota sana. Lakini mwanasiasa analipwa...
Ndugu,
Fahamu kuwa hakuna sheria yoyote inayoruhusu mwizi kurudisha alichoiba na kisha akaachiwa. Wizi ni kosa la jinai na mwizi anapelekwa mahakamani. Ukiona wezi wanasamehewa ujue tu jibu moja kuwa idara zetu husika ni dhaifu. No independent and strong institutions in Africa. Institutions are...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.