Wanafunzi wa Kampala kwenye upande wa Afya tunanyanyasika na lectures wa Kigeni, haswa sisi Wanafunzi wa maabara.
Tunasimamiwa na raia wa Nigeria, hana msaada wowote zaidi ya kutunyanyasa na ametufanya wanafunzi kitega uchumi wake, Mwanafunzi akichelewa ku-submit research idarani anatakiwa...
Akizungumza mara baada ya kikao na uongozi wa CHADEMA katika ofisi za makao makuu ya chama hicho, Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, amesema kuwa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ni mlezi wa vyama vyote vya siasa, hivyo haina uonevu wala upendeleo kwa chama chochote.
Nyahoza...
Taarifa kutoka kwenye chanzo cha kuamika ndani ya Chadema, leo Jumatatu Asubuhi, Juni 01, 2026, Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza atafika Makao Makuu ya Chadema (Edwin Mtei House), Mtaa wa Daima, Mikocheni Dar es Salaam.
Nitaleta taarifa zaidi kuhusu kitakachoendelea.
Mnyika...
Mimi ni mkazi wa Shekilango NHC maghorofani. Kwa kweli hali ni mbaya sana kwa sasa. Tumekuwa tukilipa fedha za usafi kila mwezi kama inavyotakiwa, lakini cha kushangaza, huduma ya ukusanyaji taka haipo kabisa.
Taka zimekuwa zikizagaa hapa kwa takribani mwezi mzima sasa. Harufu ni kali...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imewafikisha mahakamani watuhumiwa 23 kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) na Chama cha Walimu Tanzania (CWT), wakikabiliwa na
mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu, utakatishaji fedha na matumizi mabaya ya mabilioni ya fedha...
Leo Jumatatu Mei 25, 2026, Mwenyekiti wake wa Taifa, Tundu Lissu, anatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa ajili ya kusikiliza maombi yanayohusu kuunganishwa kwake katika kesi ya mali za chama.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa CHADEMA, Brenda Rupia...
Nipo Mbezi Msakuzi, kuna changamoto ya maji kukatika mara kwa mara, na hata yanapotoka hudumu kwa muda mfupi kisha hukatika tena. Hivi sasa tunaelekea wiki ya pili bila maji. Tunapotoa taarifa kwa DAWASA, wamekuwa wakisema wanaifanyia kazi changamoto hiyo.
Changamoto hii pia inawakumba wakazi...
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) kwa kushirikiana na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) wamelaani vikali tukio la madai ya kutekwa na kuteswa kwa David Joseph Mghanja maarufu kama “Jumbe”, msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu.
Katika tamko lao...
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) wanzungumza na vyombo vya habari leo Mei 11, 2026, kuhusu tathimini yao kuhusu taarifa ya ripoti ya Tume ya Jaji Chande.
https://www.youtube.com/live/fCeyBhwsaTc?is=dlqGDJ2BWkWcDZIO
Ni wiki ya pili sasa wananchi wa Mtaa wa Vibura, Kata ya Vikundi-Kisemvule, Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani tukiwa katika hali ya taharuki kubwa baada ya kupokea taarifa kutoka kwa watu waliokuja kwenye makazi yetu wakidai kuwa nyumba zetu zitabomolewa. Walitoa taarifa ya siku 14 ambazo...
Hadi sasa ni mwaka mmoja umepita tangu Tundu Lissu, ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema, alipokamatwa na kushtakiwa kwa kosa la uhaini. Hata hivyo, pamoja na kuwepo kwake gerezani, mjadala aliouanzisha kuhusu mageuzi ya kisiasa na uwajibikaji wa viongozi umeendelea kusikika ndani ya jamii...
Dar es Salaam, kama jiji kubwa na kitovu cha uchumi wa nchi, linapaswa kuwa mfano bora wa usafi na upangaji wa mazingira. Hata hivyo, hali halisi inayoonekana mitaani inazua maswali mengi kuhusu uwajibikaji wa viongozi na utekelezaji wa majukumu yao.
Katika maeneo kama Makumbusho, Kijitonyama...
Katika kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani Mei 3, 2026, hali ya uhuru wa vyombo vya habari nchini Tanzania imeelezwa kuendelea kuzorota.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) mapema leo, pamoja na kuongezeka kwa idadi ya...
Katika maeneo mengi ya Bunju, kumekuwa na changamoto ya magari ya taka kutopita kuzoa taka kwa wakati, jambo linalosababisha taka kuzagaa mitaani bila mpangilio.
Kwa sasa, ni takribani mwezi mzima changamoto hii imekuwa kero karibu maeneo yote ya Bunju. Kila unapopita katika mitaa mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.