Shauri la uhaini linalomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, linatarajiwa kuendelea kusikilizwa leo, Jumatatu, tarehe 10 Agosti 2026, kuanzia saa 3:00 asubuhi.
Kesi hiyo inasikilizwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ya Dar es Salaam, na imepangwa kuendelea kusikilizwa mfululizo...