Recent content by Nyakijooga

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu ya uhaini kuendelea leo, Agosti 10, 2026

    Shauri la uhaini linalomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, linatarajiwa kuendelea kusikilizwa leo, Jumatatu, tarehe 10 Agosti 2026, kuanzia saa 3:00 asubuhi. Kesi hiyo inasikilizwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ya Dar es Salaam, na imepangwa kuendelea kusikilizwa mfululizo...
  2. N

    JamiiForums Tanzania KERO Wahitimu wa Diploma Karume Institute Zanzibar tunakwama ku-apply vyuo kutokana na matokeo kusoma 'pending'

    Wahitimu wa Diploma ya Laboratory Science 2024/2025 katika Chuo cha Karume Institute of Technology-Zanzibar wanashindwa kuomba nafasi za kujiunga na Vyuo Vikuu nchini pamoja na kushindwa kuomba Mikopo katika Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) kutokana na kutowekewa matokeo yao ya semister ya...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Rugemeleza Nshala kuzungumza leo Jumatatu Julai 27, 2026

    Sawa, naona ameanza kuzungumza
  4. N

    JamiiForums Tanzania Maridhiano: Fursa ya mwelekeo mpya wa Kitaifa au mtego wa Kisiasa?

    Kwa muda mrefu, hoja ya maridhiano imeendelea kujitokeza katika mijadala ya kisiasa nchini. Ni ajenda ambayo imehubiriwa kwa nyakati tofauti na wadau mbalimbali wanaoamini kuwa, katika maeneo kadhaa, taifa limeanza kupoteza mwelekeo wake wa kidemokrasia na wa utawala wa sheria. Miongoni mwa...
  5. N

    JamiiForums Tanzania LHRC, TLS, Dk. Slaa wamfungulia Kesi ya Kikatiba Waziri Katambi kupinga amri ya kuzuia Mikutano ya Hadhara ya Kisiasa

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa kushirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na mwanasiasa maarufu, Dk Willbroad Slaa, wamefungua kesi ya kikatiba dhidi ya Waziri wa Mambo ya Naani ya Nchi, Patrobas Katambi na wenzake sita. TLS na wenzake wamefungua kesi hiyo Mahakama...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Mtetezi wa Wanyonye adaiwa kupewa sumu

    Duuh!
  7. N

    JamiiForums Tanzania Wakili Katuga : DPP kufungua maombi ya Rufaa hakulenga kuchelewesha kesi ya Lissu

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Mandeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameiomba Mahakama ya Rufani kutupilia mbali maombi yaliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), akidai yamelenga kuchelewesha mwenendo wa kesi yake, lakini upande wa Jamhuri kupitia Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro...
  8. N

    JamiiForums Tanzania John Heche, Amani Golugwa wafika hospitalini kabla ya uchunguzi wa mwili (postmortem) wa Dereva wa Heche aliyedaiwa kukutwa amefariki

    Makamu Mwenyekitiwa CHADEMA upande wa Bara, Mheshimiwa John Heche, Naibu Katibu Mkuu Bara, Mheshimiwa Amani Golugwa na viongozi wengine wa chama wakiwasili mortuary ya hospitali ya mkoa wa Kigoma leo Ijumaa, Julai 03, 2026 muda mfupi kabla ya kuanza kwa uchunguzi wa mwili (postmortem) wa...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyofikishwa Mahakamani leo Julai 3, 2026 chini ya ulinzi mkali wa Askari Magereza

    Lissu alivyofikishwa Mahakamani kwa ajili ya usikilizaji wa Rufaa ya upande wa Jamhuri Baadhi ya viongozi wa Chadema na watu wengine wakiwa kwenye ukumbi wa Mahakama Tundu Lissu alivyoingia Mahakamani. Kauli za "Shujaa" kutoka kwa wafuasi wake waliofika Mahakamani hapo.
Back
Top Bottom