Recent content by Nyakijooga

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mwalimu wa Chuo Kikuu cha Kampala (KIUT) aamuru Wanafunzi wapige magoti wakati anafundisha

    Wanafunzi wa Kampala kwenye upande wa Afya tunanyanyasika na lectures wa Kigeni, haswa sisi Wanafunzi wa maabara. Tunasimamiwa na raia wa Nigeria, hana msaada wowote zaidi ya kutunyanyasa na ametufanya wanafunzi kitega uchumi wake, Mwanafunzi akichelewa ku-submit research idarani anatakiwa...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Nyahoza: Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ni mlezi wa vyama vyote; haina uonevu wala upendeleo

    Akizungumza mara baada ya kikao na uongozi wa CHADEMA katika ofisi za makao makuu ya chama hicho, Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, amesema kuwa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ni mlezi wa vyama vyote vya siasa, hivyo haina uonevu wala upendeleo kwa chama chochote. Nyahoza...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza afika ofisi za CHADEMA leo Juni 01, 2026

    Taarifa kutoka kwenye chanzo cha kuamika ndani ya Chadema, leo Jumatatu Asubuhi, Juni 01, 2026, Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza atafika Makao Makuu ya Chadema (Edwin Mtei House), Mtaa wa Daima, Mikocheni Dar es Salaam. Nitaleta taarifa zaidi kuhusu kitakachoendelea. Mnyika...
  4. N

    JamiiForums Tanzania KERO Shekilango NHC Maghorofani tunalipa hela ya taka lakini hali ilivyo inatisha

    Mimi ni mkazi wa Shekilango NHC maghorofani. Kwa kweli hali ni mbaya sana kwa sasa. Tumekuwa tukilipa fedha za usafi kila mwezi kama inavyotakiwa, lakini cha kushangaza, huduma ya ukusanyaji taka haipo kabisa. Taka zimekuwa zikizagaa hapa kwa takribani mwezi mzima sasa. Harufu ni kali...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Takukuru yawafikisha Mahakamani watuhumiwa 23 wa TAMESA, CWT kwa matumizi mabaya ya fedha (yumo kigogo aliyedaiwa kugomea teuzi)

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imewafikisha mahakamani watuhumiwa 23 kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) na Chama cha Walimu Tanzania (CWT), wakikabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu, utakatishaji fedha na matumizi mabaya ya mabilioni ya fedha...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Lissu Mahakamani leo Mei 25, 2026 akiomba kuunganishwa kama Kiongozi kwenye kesi ya mgawanyo wa mali

    Leo Jumatatu Mei 25, 2026, Mwenyekiti wake wa Taifa, Tundu Lissu, anatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa ajili ya kusikiliza maombi yanayohusu kuunganishwa kwake katika kesi ya mali za chama. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa CHADEMA, Brenda Rupia...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Ubungo DC: Mitaa mingi kuna changamoto ya maji kukatika zaidi ya wiki; DAWASA mna nini cha kutuambia? Tunapitia magumu

    Nipo Mbezi Msakuzi, kuna changamoto ya maji kukatika mara kwa mara, na hata yanapotoka hudumu kwa muda mfupi kisha hukatika tena. Hivi sasa tunaelekea wiki ya pili bila maji. Tunapotoa taarifa kwa DAWASA, wamekuwa wakisema wanaifanyia kazi changamoto hiyo. Changamoto hii pia inawakumba wakazi...
  8. N

    JamiiForums Tanzania THRDC, TLS LHRC walaani tukio la "kutekwa na kuteswa" kwa msaidizi wa Lissu (Jumbe) wataka uwajibikaji kukomesha utekaji

    Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) kwa kushirikiana na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) wamelaani vikali tukio la madai ya kutekwa na kuteswa kwa David Joseph Mghanja maarufu kama “Jumbe”, msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu. Katika tamko lao...
  9. N

    JamiiForums Tanzania TLS wanachambua taarifa ya Jaji Chande mbele ya vyombo vya habari leo Mei 11, 2026

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) wanzungumza na vyombo vya habari leo Mei 11, 2026, kuhusu tathimini yao kuhusu taarifa ya ripoti ya Tume ya Jaji Chande. https://www.youtube.com/live/fCeyBhwsaTc?is=dlqGDJ2BWkWcDZIO
  10. N

    JamiiForums Tanzania KERO Kisemvule: Tumepewa siku 14 kuhama makazi yetu kuwa eneo ni la mwekezaji; mamlaka ziingilie kati, kuna mchezo mchafu

    Ni wiki ya pili sasa wananchi wa Mtaa wa Vibura, Kata ya Vikundi-Kisemvule, Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani tukiwa katika hali ya taharuki kubwa baada ya kupokea taarifa kutoka kwa watu waliokuja kwenye makazi yetu wakidai kuwa nyumba zetu zitabomolewa. Walitoa taarifa ya siku 14 ambazo...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Kivuli cha Lissu uraiani kunavyoziweka mtegoni siasa za Tanzania

    Hadi sasa ni mwaka mmoja umepita tangu Tundu Lissu, ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema, alipokamatwa na kushtakiwa kwa kosa la uhaini. Hata hivyo, pamoja na kuwepo kwake gerezani, mjadala aliouanzisha kuhusu mageuzi ya kisiasa na uwajibikaji wa viongozi umeendelea kusikika ndani ya jamii...
  12. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Dar: Viongozi wana mpango gani na usafi wa mazingira? Maeneo mengi ni machafu, hakuna mkakati wa wazi unaotekelezwa

    Dar es Salaam, kama jiji kubwa na kitovu cha uchumi wa nchi, linapaswa kuwa mfano bora wa usafi na upangaji wa mazingira. Hata hivyo, hali halisi inayoonekana mitaani inazua maswali mengi kuhusu uwajibikaji wa viongozi na utekelezaji wa majukumu yao. Katika maeneo kama Makumbusho, Kijitonyama...
  13. N

    JamiiForums Tanzania THRDC: Matukio zaidi ya 100 ya ukiukwaji wa uhuru wa habari yameripotiwa kwa mwaka 2025/2026

    Katika kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani Mei 3, 2026, hali ya uhuru wa vyombo vya habari nchini Tanzania imeelezwa kuendelea kuzorota.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) mapema leo, pamoja na kuongezeka kwa idadi ya...
  14. N

    JamiiForums Tanzania KERO Maeneo mengi ya Bunju tunakabiliwa na changamoto ya taka kurundikwa kwa muda mrefu bila kuzolewa

    Katika maeneo mengi ya Bunju, kumekuwa na changamoto ya magari ya taka kutopita kuzoa taka kwa wakati, jambo linalosababisha taka kuzagaa mitaani bila mpangilio. Kwa sasa, ni takribani mwezi mzima changamoto hii imekuwa kero karibu maeneo yote ya Bunju. Kila unapopita katika mitaa mbalimbali...
Back
Top Bottom