Wadau naomba ufafanuzi kidogo, kuna mwalimu yuko daraja F Ila income tax anakatwa 172000/= na hapo yaonesha anatakiwa akatwe 135000/= je huyu mtu alalamike wapi ili kupata stahiki yake? [emoji120]
Umeandika kishabiki mno pasi kuangalia sheria ya ajira inasemaje! Hivi increments nayo ni hisani kwamba mpaka mtu aone amefurahije? Nn maana ya kitu kuwepo kwa mujibu wa sheria? Jema lipongezwe na la ugoro pia likemewe tusikae kupamba tu kama makondoo
Nyie machimpanzee jadilini namna ya kuendeleza mradi wenu wa vyura. Simba yetu tuachieni sisi wana simba tunamwelewa sana Mo hivyo msituletee chokochoko zenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.