Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,679
- 20,433
Katika hali ya kushangaza, programu ya TBC online katika mitandao ya kijamii imeripoti kwamba goli la pili la timu ya Zanaco ya Zambia dhidi ya Yanga ya Tanzania katika tamasha la kilele cha wiki ya mwananchi, kwamba lilifungwa na mchezaji anayeitwa Sikaumbwe, kinyume kabisa na matangazo ya TV yalivyoonyesha kwamba mfungaji ni Kapumbu.
Bado hazijajulikana sababu za TBC online kutoa taarifa isiyo ya kweli
.......
Bado hazijajulikana sababu za TBC online kutoa taarifa isiyo ya kweli