Kaka kama ulikuwepo Jana kuna Nguruwe wangu mkubwa sana ana nzao 3 hapungui kg 90 (Nyama) ukitoa utumbo na mafuta. Namuita jamaa ananiambia bei gani mimi nikasema anipe angalau 500k, yeye ananijibu ana 100k. Kidogo nimtukane baadae nilipata wa 230k nikachukua kwa bei ya soko la kawaida...
Kwa siku 4 nimepoteza kwa kifo Nguruwe wakubwa 4. Nimechinja wenye dalili 5. Solo hakuna limepolomoka vibaya jitihada zangu za miaka 3 zinakufa mbele ya macho yangu. Nabaki na madeni tu nilitegema kulipwa nikivuna kundi wa wadogo around July. Nashukuru Mungu Kwa kila jambo. Amen
Naishi Mwanza.
Shida imenianza tarehe 3/04/2026. Alianza mmoja hali anasinzia akatapika nikamchinja kesho yaka akaanza wingine nikamchinja.
Kukapoa kama siku 4 hivi.
Leo tarehe 08.04. 2026 mmoja mwenye mimba imetoka pia alikua mchovu tangu jana. Wawili wadogo wamekufa ghafla
Naona vita...
Kweli nimeuzwa na video ya Kanali wetu wa JWTz huko DRC akisachiwa na kujisalimisha kwenye Polisi wa Rwanda. kikosi kilichopelekwa kupambana na M23 wote wanapaswa kuvuliwa vyeo wawe private
Tangu tarehe 01.10.2023 kumekuwapo na vuguvugu la muungano wa vijana wapiganaji kuvamia ngome za waasi wa M23.
Vijana hawa wanaojiita wazalendo ni mchanganyiko wa vikundi vidogo vidogo vya waasi na wanamgambo nje jeshi la nchi. Wengi ni vikundi maarufu kama Mayi Mayi na Nyatura.
Wazalendo...
Laana ya kupenda kuhamisha mipaka na kupanua ardhi yao bado inaiandama nchi ya Uganda.
Tangu October 1, 2023 kumekuwepo na tafurani ya mipaka kati ya Uganda na Sudani ya Kusini na DRC.
Hoja zinataja kuwa bila mawasiliano yoyote Uganda wamehamisha alama za mipaka na kuingia katika mataifa hayo...
Maisha ni fumbo juzi juzi nikakutana kamanda Kamuhanda amesitafu anaishi Mwanza. Nikacheka sana. Kachoka ana Harrier Imechoka balaa. Hah
Tuishi kwa wema na upendo. Maisha ni safari tu
Mwl Makungu bado uko baridi ndugu yangu. Umeongea point sana. Ila sijui kwa nini nimekumbuka ndungu Mwl Deo yule Mwl wa Nyamagana aliyefunga. Alikuaga na maandiko fulani.
Sasa kijana naona baada ya siasa kukuvuruga umepata mvurugano wa idol.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.