Recent content by nyabhera

  1. nyabhera

    Hezbollah waliendaga wapi? Netanyahu aongezwe kwenye biblia

    Imepaki Historia mashariki ya kati no more Hizbolah
  2. nyabhera

    TANZIA Msemaji wa M23, Willy Ngoma auawa kwa shambulio la Droni

    Kifo ni haki yake Kwa malipo ya mauaji na madhira aliyosababisha Kwa jamii za watu wa DRC
  3. nyabhera

    Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

    Kweli nimeuzwa na video ya Kanali wetu wa JWTz huko DRC akisachiwa na kujisalimisha kwenye Polisi wa Rwanda. kikosi kilichopelekwa kupambana na M23 wote wanapaswa kuvuliwa vyeo wawe private
  4. nyabhera

    Bila Kanda ya Ziwa hamna Ushindi 2025

    Tabora and Katavi is Sukumaland in extension. And Sukumaland is the core of lake Zone. Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
  5. nyabhera

    Bila Kanda ya Ziwa hamna Ushindi 2025

    Political, economically and Socially Tabora na Kativi ni attachment ya kanda ya ziwa. Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
  6. nyabhera

    DRC: Yalipuka mapigano makali kati ya waasi wa M23 dhidi ya Wazalendo

    Tangu tarehe 01.10.2023 kumekuwapo na vuguvugu la muungano wa vijana wapiganaji kuvamia ngome za waasi wa M23. Vijana hawa wanaojiita wazalendo ni mchanganyiko wa vikundi vidogo vidogo vya waasi na wanamgambo nje jeshi la nchi. Wengi ni vikundi maarufu kama Mayi Mayi na Nyatura. Wazalendo...
  7. nyabhera

    Uganda yavamia ardhi ya Sudan ya Kusini na DRC

    Laana ya kupenda kuhamisha mipaka na kupanua ardhi yao bado inaiandama nchi ya Uganda. Tangu October 1, 2023 kumekuwepo na tafurani ya mipaka kati ya Uganda na Sudani ya Kusini na DRC. Hoja zinataja kuwa bila mawasiliano yoyote Uganda wamehamisha alama za mipaka na kuingia katika mataifa hayo...
  8. nyabhera

    Kamanda Kamuhanda kuhamishwa Iringa, yadaiwa chanzo ni mauaji ya Mwangosi!

    Maisha ni fumbo juzi juzi nikakutana kamanda Kamuhanda amesitafu anaishi Mwanza. Nikacheka sana. Kachoka ana Harrier Imechoka balaa. Hah Tuishi kwa wema na upendo. Maisha ni safari tu
  9. nyabhera

    Ikiwa Mazishi ni Ibada, basi usiingilie ibada za wafu. Waache wafu wawazike wafu wenzao

    Mwl Makungu bado uko baridi ndugu yangu. Umeongea point sana. Ila sijui kwa nini nimekumbuka ndungu Mwl Deo yule Mwl wa Nyamagana aliyefunga. Alikuaga na maandiko fulani. Sasa kijana naona baada ya siasa kukuvuruga umepata mvurugano wa idol. Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
  10. nyabhera

    Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

    Kweli Lissu kama mtu aliyehai anawajibu wa kutubu hasa vibe aliloonesha kwenye msiba wa JPM. Kisha hata Mimi nitamuunga mkono.
  11. nyabhera

    Msanii Maarufu wa Nigeria Mercy Aigbe Asilimu

    Haha Mimi mkinipa hela ninaslimu. Zikiisha ninarudi kwa Yesu wangu
  12. nyabhera

    Cheo cha Brigadier Jeshini Kirudishwe

    Tujuze maraia
  13. nyabhera

    Bukoba: Ndege ndogo yapitiliza na kuingia ziwa Victoria

    Haha. Na umri pia. Na mie nilikua mdau. Ila nilibadili Ac kwa kubadili personality. Hahah.
  14. nyabhera

    Bukoba: Ndege ndogo yapitiliza na kuingia ziwa Victoria

    Mzee vipi mambo. Miaka ya 2008 nilikua nakukubali sana kwenye mada za mambo ya security. Sikuoni siku hizi
  15. nyabhera

    Tanga Twadeka - Mawaziri wanne! 2030 InshaAllah!

    Unajua maana ya Waziri. Tofautisha Waziri na Naibu Waziri. Katambi kama naibu siyo mjumbe wa Baraza la mawaziri
Back
Top Bottom