TANZIA Msemaji wa M23, Willy Ngoma auawa kwa shambulio la Droni

TANZIA Msemaji wa M23, Willy Ngoma auawa kwa shambulio la Droni

Sina uhakika kama US Ana interest kuisaidia Congo zaidi ya kuchukua madini, watarudi kwenye civil war hawa
 
Michezo ya US na Israel hii, michezo ya kutumia drone wanapenda Sana maana Wana satellite zinazoweza kuona Hadi Pini ndogo kabisa ardhini, kitu ambacho huwezi kukiona Kwa macho Mathalan toothpick kwenye Giza wao hukiona, wanakuwinda Tu hawachoki, wakipata nafasi moja basi wanakuwahisha kaburini...baadhi ya nchi Afrika wanazo za kisasa kabisa.

Kule middle East hizi drones ndo zilikuwa zinawasaka viongozi wa vile vikundi vya Hezbollah sjui Hamas, upo zako na gari unajikuta Tu umeshakuwa majivu, ipo moja hiyo ya pikipiki inategwa barabarani kama vile imepakiwa kumbe bike mbele pale ina silaha isiyoonekana ukitokea Tu road Kwa mbele Jamaa ofisini anabonyeza Tu bike inakuwasha chuma za kutosha peke yako unakufa, halafu inajilipua yenyewe kupoteza ushahidi, hivyo ndivyo alivyouliwa mwanasayansi mmoja tegemezi wa nyuklia wa Iran...

Nashauri kama kweli kuna vijana ambao wanapenda teknolojia waanze sasa kukomaa na AI, wajinoe kwenye sophisticated issues kama hizo watatoboa miaka ya baadae, future ipo kwenye AI sasa hivi, TZ tumelala hivyo vijana wenye nia wanaweza kupata kandarasi nzuri hapo baadae maana govt inaendeshwa kijima Sana na conservatives wa miaka ya 50's hivyo unawatoa ushamba.

Leo hii vijana wa miaka 18-25 Israel wanaweza kupewa kazi ya kupiga target ndani ya Iran na wanafanikiwa, hizi mambo ni machalii Tu ndo unakuta wanakomaa nazo, Leo kiongozi yoyote Yule wa nchi ya kusadikika akiamuliwa kumalizwa ni mara moja, collectively tumelala Sana.
 
Kuna chip inasubiriwa kutoka NVIDIA, itawezesha drone kuwa na AI na kujiendesha, haitohitaji tena controller, hata kama kuna jammers za kukata mawasiliano eneo hilo hazitoweza kuidhibiti maana inajiendesha kwa akili zake haitegemei mawasiliano, ikitumwa inakutafuta , ukikimbia inakukimbiza, ukijificha inakusubiri... ni balaa...
Hii inaitwa NAMSAKA MKE WANGU.
 
Kuna chip inasubiriwa kutoka NVIDIA, itawezesha drone kuwa na AI na kujiendesha, haitohitaji tena controller, hata kama kuna jammers za kukata mawasiliano eneo hilo hazitoweza kuidhibiti maana inajiendesha kwa akili zake haitegemei mawasiliano, ikitumwa inakutafuta , ukikimbia inakukimbiza, ukijificha inakusubiri... ni balaa...
😁😁😁 Ina sense na Mawimbi ya mwili wako !?
 
Kifo cha Willy Ngoma ni cha kimkakati, Wamerekani wameua ili kuuhadaa umma kuwa wako serious kwenye vita hiyo. lakini ni ukweli kuwa m23 ni kundi la waasi lenye sapoti toka kwa haohao Wamarekani kupitia Rwanda. upo nyonyo?
Anatoa pesa hii huku anaihamishia mfuko wa huku 😁
 
hivi kweli majeshi ya nchi mbili zinapambana na kikundi tu cha M23
 
Sina uhakika kama US Ana interest kuisaidia Congo zaidi ya kuchukua madini, watarudi kwenye civil war hawa
Hapa Congo ndo anatakiwa aimarishe jeshi lake kupitia uwepo wa Marekani. Sidhani kama Marekani ameingia mzimamzima bali yeye anatoa utaalam wakati watekelezaji wakiwa Congo wenyewe.
 
Inaumiza sana hii inshu ya Congo, Banyamulenge ni wakongo coz wapo pale miongo na miongo. Leo hii mijitu isiyojua kiswahili inawabagua eti warudi kwao imesahau hiyo ardhi kiasili ni Yao coz mipaka imecholwa na wakoloni ikiwatenganisha na ndg zao wanyarwanda. Kipigo watakachopata Hawa jamaa tutaishia kuilaumu M23.
 
Back
Top Bottom