Aliyekuelekeza na kukuandikia kuhusu uwepo wa Mungu ndiye aliyekuandikia kila kitu kuhusu wewe. Huwezi kunielewa kwasababu tayari project yao imefanikiwa.
Ili uwe huru sio kazi rahisi
Huwezi kujua uwepo wa Mungu kama hujafundishwa au hujakuta jamii inayokuzunguka ina utamaduni huo. Wewe unayebisha hili, zaa mtoto ukamuweke msituni huko na wanyama uone atakuja na kitu gani
Mungu anafundishwa kama alphabet, muda, namba, mipaka nk. Hivyo vyote vilivumbuliwa na mwanadamu ili kutengeneza jamii yenye utamaduni unaonendana.
Kwa mfano leo hii wewe unaamini kuhusu Mungu kupitia Yesu. Wapo wanaoamini kupitia mtume
Nataka kujua kutoka kwako. Uzalendo wako upo kutoka ndani ya nafsi yako au kwenye makaratasi. Nimeanzia mbali ili ufahamu namna ubongo wako ulivyojengwa kwenye issue ya Mungu
Mkuu dakika ina sekunde ngapi? Vipi saa lina dkk ngapi? Siku je, ina masaa mangapi?
Unaamini kuwa muda umepangiliwa na mwanadamu ili kutusaidia kutunza kumbukumbu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.