Recent content by nusuhela

  1. nusuhela

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Inagoma kulog in
  2. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Mm hapa. Anayeongoza kwa magoli msimu jana kwenye timu yenu ni nan?
  3. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Magori: Selemani Mwalimu mchezaji gani yule wa kumlipia Tsh. Bil. 1 kwa mkopo?

    Kwahiyo hii ndio comeback ya Simba?
  4. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Aliyekuelekeza na kukuandikia kuhusu uwepo wa Mungu ndiye aliyekuandikia kila kitu kuhusu wewe. Huwezi kunielewa kwasababu tayari project yao imefanikiwa. Ili uwe huru sio kazi rahisi
  5. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Huwezi kujua uwepo wa Mungu kama hujafundishwa au hujakuta jamii inayokuzunguka ina utamaduni huo. Wewe unayebisha hili, zaa mtoto ukamuweke msituni huko na wanyama uone atakuja na kitu gani
  6. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Sio kweli hakuna kitu cha namna hiyo
  7. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Mungu anafundishwa kama alphabet, muda, namba, mipaka nk. Hivyo vyote vilivumbuliwa na mwanadamu ili kutengeneza jamii yenye utamaduni unaonendana. Kwa mfano leo hii wewe unaamini kuhusu Mungu kupitia Yesu. Wapo wanaoamini kupitia mtume
  8. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Nataka kujua kutoka kwako. Uzalendo wako upo kutoka ndani ya nafsi yako au kwenye makaratasi. Nimeanzia mbali ili ufahamu namna ubongo wako ulivyojengwa kwenye issue ya Mungu
  9. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Nashukuru umenielewa. Vipi kuhusu utanzania wako mtu anaweza kukupokonya?
  10. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Vipi kuhusu mipaka ya nchi ni nani aliiweka?
  11. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Sapraiziiii: Yanga yamsajili Selemani Mwalimu siku mbili baada ya kunukuliwa akisema ataichezea Simba Msimu wa 2026/27

    Uwekezaji haukuwa mkubwa kama ilivyokua kipindi mnakula chuma 5 nyie
  12. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Vipi kuhusu alphabet na namba? Zilitoka wapi.? Au nazo zilitoka kwa Mungu
  13. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Aliyemwelekeza Ahmed Ally kumtangaza Seleman Mwalimu anapaswa kujiuzulu mara moja pake Simba ni mhuni

    Najisikia raha sana kunya kunya mnavyoteseka
  14. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Mkuu dakika ina sekunde ngapi? Vipi saa lina dkk ngapi? Siku je, ina masaa mangapi? Unaamini kuwa muda umepangiliwa na mwanadamu ili kutusaidia kutunza kumbukumbu?
Back
Top Bottom