Recent content by nusuhela

  1. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bado
  2. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Itolewe Amri, uchafu kukutwa kwenye eneo lako, faini elfu 50

    Kwanza toeni elimu na mboreshe miundombinu ya kuwekea taka pamoja na magari ya kukusanya taka kupeleka kunakostahili
  3. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Wanawake hatupendi wanaume wasio na hela!

    Jisemee wewe. Sio wote mnaopenda hela ni vile umezaliwa kwenye familia masikini
  4. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sportybet wamekata hela kwenye akaunti. Itakua wamekutana na kitu kizito
  5. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hatari sana. Leo game nyingi zimetoa magoli
  6. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wameweka - Hata game ya viking ni -
  7. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Leo magoli kibao wazee wenzangu. Ndo mwisho wa mwezi nini?
  8. nusuhela

    JamiiForums Tanzania TAZARA yatangaza mabadiliko ya Muda katika Uendeshaji wa Treni Za Abiria, 26 Agosti 2026

    Sio wanafanya kusudi ili mabasi yao yafanye kazi?
  9. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu aendelea kujitetea - Agosti 24, 2026

    Kwahiyo wewe unaakili kuzidi wote walio kwenye sheria? Au unahisi wapo pale kupoteza muda? Endelea kujifunza kijana
  10. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Ray Kigosi atangaza kupata mtoto wa pili akiwa Bado anaishi kwao

    Yesu mwenyewe bado yupo kwa dingi yake miaka 2000 sasa
  11. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Watanzania wanolipa income tax ni kama million 2 hivi kati ya watu million karibia 70 hili ni janga kwa Taifa

    Unatafuta umaarufu kwa vitu usivyovijua. Acha kupotosha watu. VAT na PAYE ni vitu viwili tofauti kabisa. Hakuna mtanzania asiyelipa VAT. Kwa kiswahili ni kodi ya ongezeko la thamani ambayo ni 18% kwenye bidhaa. Analipa mlaji wa mwisho. PAYE ni kifupi cha Pay As You Earn. Hii inakatwa kwenye...
  12. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Watanzania wanolipa income tax ni kama million 2 hivi kati ya watu million karibia 70 hili ni janga kwa Taifa

    Unatafuta umaarufu kwa vitu usivyovijua. Acha kupotosha watu. VAT na PAYE ni vitu viwili tofauti kabisa. Hakuna mtanzania asiyelipa VAT. Kwa kiswahili ni kodi ya ongezeko la thamani ambayo ni 18% kwenye bidhaa. Analipa mlaji wa mwisho. PAYE ni kifupi cha Pay As You Earn. Hii inakatwa kwenye...
  13. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Watanzania wanolipa income tax ni kama million 2 hivi kati ya watu million karibia 70 hili ni janga kwa Taifa

    We jamaa unajikuta mjuaji wa kila kitu
  14. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Vikosi viwili vya YANGA

    Sio mbaya tutavuka tu. Maana kuna msimu tulidhurumiwa na mamelodi
  15. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii app jau. Yaani mpaka uanzs upya kusoma vipya na uzi ni mrefu
Back
Top Bottom