Bila dini tusingetawalika ndugu. Serikali inategemea dini kubalance uasi.
Kifupi ni kwamba lengo kubwa la dini ni kuwafanya watu kuishi kistaarabu.
Kuhusu utajiri hilo ni suala lingine wala halihusiani na dini
Nimepumzika kunywa bia mambo hayaendi. Nilidhani ile hela niliyokua naitumia kunywa ningefanya la maana lakini imekua kinyume. Hata hela ya soda imekua ngumu
Miaka 100 kuanzia sasa yaani mwaka 2126 sisi tulio hai leo, hatutakuwepo kwenye uso wa dunia.
Kwa takwimu za mwaka huu, dunia ina watu takribani bilioni 7.8. maana yake miaka 100 ijayo dunia itakua imemeza watu wote hawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.