Recent content by nusuhela

  1. nusuhela

    Dini ndiyo 'Software' (KIRUSI) namba moja inayo-Program Waafrika kuwa Masikini wa kutupwa kizazi hadi kizazi

    Bila dini tusingetawalika ndugu. Serikali inategemea dini kubalance uasi. Kifupi ni kwamba lengo kubwa la dini ni kuwafanya watu kuishi kistaarabu. Kuhusu utajiri hilo ni suala lingine wala halihusiani na dini
  2. nusuhela

    Utafiti: Bia inaongeza uwezo wa kufikiri na ubunifu kwenye angle nyingi za kimaisha

    Nimepumzika kunywa bia mambo hayaendi. Nilidhani ile hela niliyokua naitumia kunywa ningefanya la maana lakini imekua kinyume. Hata hela ya soda imekua ngumu
  3. nusuhela

    Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Kwahiyo kukiwa na vibali ndo itakua ridhaa yako wewe mnunuzi?
  4. nusuhela

    Miaka 100 ijayo tulio hai leo tutakua tumefariki

    Hakika. Wenye miaka 30 kwenda juu hatufiki 2126
  5. nusuhela

    Hizi teams ambazo tumegoma kuzipa Ufadhili msimu huu zikicheza nasi zinauma sana meno

    Hii timu inapoteza ubora siku baada ya siku. Wachezaji wanacheza utadhani hawalipwi. No focus, no speed yaani ladha ya mpira 0
  6. nusuhela

    Miaka 100 ijayo tulio hai leo tutakua tumefariki

    Naogopa sana yaani. Ndoto zangu bado hata hatua moja hazijaanza kusogea
  7. nusuhela

    Miaka 100 ijayo tulio hai leo tutakua tumefariki

    Miaka 100 kuanzia sasa yaani mwaka 2126 sisi tulio hai leo, hatutakuwepo kwenye uso wa dunia. Kwa takwimu za mwaka huu, dunia ina watu takribani bilioni 7.8. maana yake miaka 100 ijayo dunia itakua imemeza watu wote hawa
  8. nusuhela

    Full Time: TRA United 0 🆚 0 Young Africans SC, Machi 18, 2026, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

    Tumemaliza vibaya round ya kwanza japo tunaongoza ligi
  9. nusuhela

    Ushauri Kocha wa Yanga hana sifa atafutwe kocha mwingine

    Mwendelezo huu ni mbaya pale Yanga. Hasa kwa uwekezaji uliofanyika
  10. nusuhela

    Nashauri timu ya taifa ya Senegal wajitoe mashindano yote yanayosimamiwa na Wala rushwa CAF

    Sio senegal tu. Timu zote zinazopinga matokeo ya mezani zinapaswa kutoshiriki mashindano yoyote ya CAF
  11. nusuhela

    Tumia Hizi Siri 7 Kukagua Simu Ili Usitapeliwe na Kuuziwa Feki / Grade Namba 2

    Niliwahi kuuziwa samsung s4 demo. Enzi hizo naanza kazi ya udalali wa simu
Back
Top Bottom