Recent content by nusuhela

  1. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Ndugu yetu Naftali Maziwa ameuawa huko Mpanda na jeshi la Tanapa

    Hao hawacheki na yeyote. Kiboko yao wachawi wa huku kwetu. Kila wakienda wanafua dafu mpaka wameamua kuacha watu wafanye watakavyo. Japo sikubaliani na mambo ya kuharibu misifu, ila elimu shirikishi kwa wananchi ni muhimu
  2. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti

    Baba ndiye tatizo. Hakujenga misingi imara ya kumtengeneza mtoto kuja kuendeleza alivyovianzisha yeye. Unazaa mtoto unalelewa na wengine alafu unategemea matokeo chanya? Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Tuache akili za kufikiria kusomesha watoto eti waje waajiliwe na wengine
  3. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti

    Akili za kiafrika hizi. Ndio maaana mnawaabudu wazungu kwa akili kama hizi. Unataka mwanao nani ampatie hela za kufanya maisha? Acha undezi
  4. nusuhela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni aina gani ya mwanamke ndiye furaha na faraja yako?

    Asiye mbinafsi, asiye mchoyo, mwelewa, mvumilivu, mwaminifu. Huyu nitakufa naye
  5. nusuhela

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Muswada wa Bunge la Marekani ni kuingilia mchakato wa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai

    Si tuliambiwq nguvu iliyoyumika ilikua sawa na waandamanaji?
  6. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Tamthiliya ya Juakali isipoisha kwa funzo kuu, basi mwandaaji asipewe tena jukwaa kama lile kueneza upotovu

    Yaani hii tamthilia hata usipoiangalia kwa miesi kadhaa, ukija kuangalia hakuna jipya utakutana nalo zaidi ya wake za watu kuliwa
  7. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    Kauli yako haiwezi kubadili maana ya hikibkinachozungumzwa hapa. Maisha hayana maana yoyote ile
  8. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    Nadhani umekurupuka kumjibu mleta mada. Ameuliza swali ambalo linahitaji majibu. Kama huna jibu kwa sasa ni bora ukakaa kimya ukapata muda wa kutafakari
  9. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    Nafikiri hujamuelewa mleta mada. Yeye anauliza maana ya haya maisha. Ukimuelewa wala hutaumiza kichwa
Back
Top Bottom