Hao hawacheki na yeyote. Kiboko yao wachawi wa huku kwetu. Kila wakienda wanafua dafu mpaka wameamua kuacha watu wafanye watakavyo. Japo sikubaliani na mambo ya kuharibu misifu, ila elimu shirikishi kwa wananchi ni muhimu
Baba ndiye tatizo. Hakujenga misingi imara ya kumtengeneza mtoto kuja kuendeleza alivyovianzisha yeye. Unazaa mtoto unalelewa na wengine alafu unategemea matokeo chanya?
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Tuache akili za kufikiria kusomesha watoto eti waje waajiliwe na wengine
Nadhani umekurupuka kumjibu mleta mada. Ameuliza swali ambalo linahitaji majibu. Kama huna jibu kwa sasa ni bora ukakaa kimya ukapata muda wa kutafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.