Chunguza ama9 mchumguze asiye ipemda ccm utangundua kitu.kama ni mzee ujue kafukuzwa kz kama ni kijana ujue ni mpiga debe na kama ni mtu wa makamo basi jua huyo ni mvivu balaaa cc ni jembe na nyundo hiyo ni falsafa yao wavivu sasa wanavyo ikokotoa eti nyundo nikuponda kichwa hadi ufe najembe...
Tz nasiasa za chuki haiwezekani komoa nikukomoe mwisho wasiku ningejua huja yakishatokea plz wote kwa pamoja tunakiu ya mabadiriko lakini si kwaku danganya nafsi zetu. Mfano mdogo kumbe hela haramu ni kwa upande mmoja?
Lowassa ni mtu naki kwete ni mtu soo haipendezi kumkashifu mtu wala kumtusi mtu matusi siuchangiaji mzuri na kebehi hua inatoa hukumu nzuri au mbaya kwa mchangiaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.