Nashindwa kuelewa mtu anayeshabikia CCM baada ya haya madhambi kwa nchi na watu wake. Sijui nimwite nani, mshenzi,muhuni,mchumia tumbo,msaliti.....
Nashindwa kuelewa kabisa,kwa haya yote ccm walichofanya kwa miaka 50 bado mtu unataka kuchagua ccm.
Kati ya jk na lowasaa nani fisadi??
Nawaomba kwa dhati wanachama wa CCM tushikamane kwa nguvu zote kipindi hiki kuelekea uchaguzi yatasemwa mengi sana kuhusu chama chetu na viongozi wetu tusiwape nafasi wabaya wetu wanaopanga kutuangamiza kwa maneno ya UONGO. Wale MAFISADI waacheni waende kwenye vyama dhaifu (vyama vya UKABILA na UDINI). CCM ndo chama dola na itaendelea kushika dola milele na milele
Jitambue !!!! Utachekwa!!!!Ccm ndio mkombozi wa watanzania
kwa mambo yanavyokwenda kama mwana CCM naanza kupata wasi wasi wa ushindi ikifika oktoba 2015, kwa ukweli upinzani safari hii naona kama wamejipanga haswaaaa