Baada ya kuona deadline mwezi wa sita tayari nilitia shaka. Muda wa kuapply baada ya kazi kutangazwa serikalini mara nyingi huwa siku 14.
Mtoa mada acha kucheza na hisia za watu.
Karucee,
Ni masharti ya mkataba na Bianca alikubali na akasaini. Na zaidi si tu hakuruhusiwa kumshika ila hata kujifungua ilipangwa ifanyike kwa operation.
Salaam Wakuu,
Kwa siku mbili mfululizo nimekuwa nikijaribu kubadili course za mdogo wangu zilizowekewa comment tajwa bila mafanikio. Nikiclick kwenye selected programs inarudi tena kwenye page ya log in, naombeni msaada wakuu.
Maelezo yako ni mazuri, ila kuna jambo hujamsaidia, alifanya mapenzi siku ya hatari zaidi ilikuwa ile ya 15, lakini mpenzi alipata cku zake kama kawaida cku ya 28, baada ya kumaliza wakafanya tena siku ya 8 ambayo si hatari sana katika upatikanaji wa mimba, labda umpe ufafanuzi yawezekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.