Magufuli hawezi kufanya chochote kuhusu mikataba yale yalikua maneno ya kuwadanganya wale wenye upeo mdogo wakuelewa ambao walikua wanaimba ccm mbele kwa mbele wakati wanajua mateso tunapata ote bila kujali we ni nani
Siku zote mwenye upeo wa kufikili hawezi penda ccm wala kushabikia yani utakuta lijitu linasema tumeshinda ukimuliza anakuambia ccm tumeshinda alafu baada ya siku chache linaanza kulalama,
Kweli mambumbu hayaishi hivyo hujui kwamba ccm ni hadui kwako? Au unafikili ukiumwa utapata dawa hosptali nimeamini kuna watu majuha na wehu tena zaidi ya wehu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.