Wajuzi wa mambo ya net na apps,nauliza kama kuna APPS yoyote inayoweza kunitolea picha zangu zilizofutika kimakosa kwa galaxy yangu,nina Samsung Galaxy Grande Prime Duos zilikuwa images pamoja na photos zangu ambazo ni muhimu kwangu.msaada wenu Asanteni.
Mimi naona ingekuwa ni ubora zaidi kila anaeleta hoja humu au habari yoyote muhimu aweke link ni wapi amepata habari hizo,kama hana link wala uhakika wa habari zake basi ni bora azihifadhi mwenyewe.Asanteni
Na hiyo kweli inawapa haki gani kumpiga innocent girl? Wanajeshi wenye nidhamu lazima wawe na huruma kwa wazee na watoto na kina mama na wanyonge,hao ni lazima wasakwe na kufunguliwa mashtaka haraka sana.
MADAKTARI NA WASHAURI WA TIBA MKO WAPI?
Naomba wanaohusika na jukwaa hili mashuhuri la Jamii watuwekee ukumbi special wa Matabibu na washauri wa tiba ili tuweze kuwauliza mambo mbalimbali za kiafya na matibabu.
Na mimi nauliza kama kweli jambo kama hilo lipo la nchi nzima iuzwe,wananchi watakimbilia wapi nchi ikiuzwa,itabidi muishi watumwa katika nchi za watu au watumwa kwa wale muliowauzia nchi nzima.Jambo ambalo haliingii akilini.
Mola anakupima subira yako,iko karibu siku ambayo utafurahi sana,Mola ndie ajuwae hali yako zaidi yetu,ninaamini utakuja humu jamvini mwa JAMII kubwaga shukurani zako na kutupatia habari nzuri na mwaliko vilevile,muamini Mola wako kwa kila jambo.
Bila shaka Polisi watachunguza na kujua sababu kamili ya huyo kijana kuamua kujiuwa.Sijui na sisi wasomaji tuliosoma tukio hili tutaambiwa sababu au ndio basi?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.