Awali niliamini ACT kingeweza kuwa chama mbadala wa upinzani. Kumbe sivyo!
Kuna somo ACT wazalendo hawalijui;wanatumia the False Positive and False Negative Approach badala ya kubaki neutral kama ilivyopaswa.
Walifanya False Negative - Kukiona kitu kibaya ambacho sicho - wakati wa Kampeni za...
If UDOM is not a legacy then you have to find the new meaning of the word.
Tatizo humu wamejaa watoto wa Shule. Kama unataka kuanzisha mada ya JK anzisha!
Kuna watoto wengine wanasema JK ashitakiwe wanasahau aliyeua Rais wake!
Really Mzee Mkapa ana akili sana. Kama huamini muulize yule Mzee aliyetaka Urais mwaka 2005 nini kilichompata kutokana na akili nyingi za Mkapa!!
Asifiae mvua.....!!
Acheni kujitia ujuaji; mtoa mada hajakosea chochote. Mara ngapi tunasoma watu wakirudi makala za wengine tena kwa majina.
Mwanakijiji kaamua kutumika na hizi ndio gharama zake. Kwani mtoa mada kishatoa thread ngapi wa kuwazungumzia watu.
Sio huyu Mwanakijiji ambaye kule kwenye mada yake ya...
Mwanakijiji,
Matokeo ya Rais wa Tanzania yanakamilika bila ya kura alizopigiwa Zanzibar?
Acha kuwahadaa watu....!! Ukisikia Double Standard ndio hizo zako. Eti sina habari na Zanzibar!!!
Ungekuwa Mkweli ungesema na kwa Zanzibar; lakini umekubali kutumika!
Wewe endelea na...
Mwanakijiji,
Vijana wadogo wanaweza kukuelewa. Kwa wanaojua siasa hasa za Tanzania unawahadaa Chadema.
Mwaka 2010 Kura za Slaa hazikutokana na Uzuri wake bali chuki za kidini JK. Kama Lipumba alimpiga tafu JK basi TEC (rejea matamko yao) walimpiga tafu Slaa (haijaknushwa hiyo).
With Magufuli...
Ninyi vijana wageni Chadema msichokielewa ni kuwa mnapo inasibisha CUF na waislam au kejeli zenu Uislam cum udini hamjui kuwa kuna wanachadema wa ngazi za juu kabisa waislam wenye mapenzi na chama chao......Mtaje Mzee Bob Makani, Said Afri, Zitto Kabwe, Jafari Kasisiko,....hao wote ni waislam...
Mara ngapi? Wakati kitu kikiongozwa/kikishikwa /kikianzishwa na Muislam hicho ni cha Udini -Uislam. Ndio vita yenu na CUF. Ndio vita yenu na JK. Angalau basi mngeiletea nchi maendeleo tungejivunia ninyi wachapakazi wetu!! Kikowapi na umasikini wetu, ujinga wetu, maradhi yetu! Kuna watu wanasema...
Mpiga debe wa Mkapa leo ndio anaiona CCM itakufa. Yupo dwati moja na swahiba yake mpiga debe wa Mwandosya.
Baada ya kuhamia Billicanas leo ndio wanakuja na ngonjera za CCM kufa. Njaa mbaya sana. Sijui kwanini yule mwana CCM mtaka Urais kwa udi na uvumba hajawatembelea hawa Jamaa.
Hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.