nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
| ||
|
Pengine mkuu wangu umesahau leo.. Dr.Slaa alikuja wakati muafaka kabisa maana ni baada ya uchaguzi tu ndipo hizi habari za Chadema chama cha Kikristu, Dr.Slaa Padre aliyemwacha mkewe na kuzini nje yalikuja kuwa hoja na pandikizi kubwa la hofu kwa wapiga kura. Bahati lilikuja ota mizizi baada ya uchaguzi lakini kama inngekuwa mapema CCm wangemmaliza Dr. Slaa kwa sababu nimegundua kwamba kujibu maswala ya Udini unataka moyo mkubwa sana na Dr. Slaa si mtu wa kujiingiza kichwa kichwa ktk migogoro kama hiyo.Nakukumbuka tulijadili hili sana hapa JF wakati Dr alipoteuliwa kuwa mgombea Urais. It was too late na hakupata muda wa kijinadi. Hata kufanya uchaguzi 2013 halafu uchaguzi mkuu ni 2015, bado naona atakayechaguliwa atakuwa na muda mfupi sana wa kutandaza zege. Kwa nini wasifanye kama wanavyofanya in the West? Kwamba baada ya Uchaguzi mkuu, kama mgombea urais hakufanikiwa kushinda, then chama kinafanya uchaguzi immediately after the general election. Hapo atakuwa na at least miaka minne ya kujijenga na kuzunguka nchi kunadi sera za chama.
Having said that sidhani kama ni sahihi kwa Chadema kusema kuwa kitachukua hatamu ya uongozi katika uchaguzi ujao. The ultimate decision itakuwa kwa Watanzania kama kweli wanataka mabadiliko. Are Tanzanians ready for a change? Few but not all.
Pengine mkuu wangu umesahau leo.. Dr.Slaa alikuja wakati muafaka kabisa maana ni baada ya uchaguzi tu ndipo hizi habari za Chadema chama cha Kikristu, Dr.Slaa Padre aliyemwacha mkewe na kuzini nje yalikuja kuwa hoja na pandikizi kubwa la hofu kwa wapiga kura. Bahati lilikuja ota mizizi baada ya uchaguzi lakini kama inngekuwa mapema CCm wangemmaliza Dr. Slaa kwa sababu nimegundua kwamba kujibu maswala ya Udini unataka moyo mkubwa sana na Dr. Slaa si mtu wa kujiingiza kichwa kichwa ktk migogoro kama hiyo.
Kilichofanyika Dr. Slaa aliibiwa kura nyingi sana na ushahidi upo wazi kabisa isipokuwa chama kijifunze zaidi sababu kubwa zilizowafanya kushindwa mwaka 2010. Binafsi yangu Chadema wanashindwa sii kwa sababu ya kutokuwa na mbinu bali mfumo mzima wa uchaguzi toka katiba hadi usimamizi wake. Maadam vyombo vya kusimamia upigaji kura sii vyombo huru, wakuu wa mikoa, wilaya na Polisi ni wateule wa rais hamuwezi kushinda kura hata kama wananchi wote wamekichagua Chadema...Fanya mtakavyofanya bila katiba hii kubadilika kabla ya mwaka 2015 Chadema haiwezi kushinda...labda tutegemee mwaka 2015 kuwa mwaka wa machafuko nchini...Nimeyasema leo na nitayarudia mwaka 2015 - InshaAlaah tukijaliwa Uzima..
Nakukumbuka tulijadili hili sana hapa JF wakati Dr alipoteuliwa kuwa mgombea Urais. It was too late na hakupata muda wa kijinadi. Hata kufanya uchaguzi 2013 halafu uchaguzi mkuu ni 2015, bado naona atakayechaguliwa atakuwa na muda mfupi sana wa kutandaza zege. Kwa nini wasifanye kama wanavyofanya in the West? Kwamba baada ya Uchaguzi mkuu, kama mgombea urais hakufanikiwa kushinda, then chama kinafanya uchaguzi immediately after the general election. Hapo atakuwa na at least miaka minne ya kujijenga na kuzunguka nchi kunadi sera za chama.
Hapana mimi nadhani ilikuwa mbinu na sii kuogopa na mbinu hiyo ilifanikiwa kutokana na historia za nyuma. Mrema na NCCR - chama cha Wachagga, Seif aliitwa Mpemba - CUF chama cha Waislaam, Salim mwarabu sana hafai na hizi tuhuma zote zilichukua muda kuweza kuzaa matunda yake. Kama kujulikana mapema mbona JK alijulikana mapema kuwa mgombea mwaka 2010 lakini hakuweza kutamba kama mwaka 2005 ambapo walichelewa..Lipumba na wengineo walijitokeza mapema kabisa mwka 2010 lakini mbona hawakufanya vizuri?.. swala ni chama kinasimamia maslahi ya wananchi wapiga kura... focus ni watu wenyewe unawapa ahadi gani, kuweza kutoa sera bora na mgombea mwenye kuaminiwa zaidi. Kumbuka Imani za watu TZ ktk kuaminiana ni chini ya asilimia 20,chama kikiweza kumpata mgombea anayeaminika kwa asilimia kubwa na chama kinatangaza wazi nia yake kwa dhati, wananchi watamchagua mtu huyo bila kujali muda ama kawafikia au laa!.Mkuu kwa hiyo Chadema waliogopa kuntangaza Dr Slaa mapema kwa kuogopa kuwa atachafuliwa na CCM? Na hata kama ni hivyo Dr Slaa ndie atakuwa mgombea pekee wa Urais in future? Au wagombea wengine nao watakuwa na issues alizokuwa nazo Dr Slaa? Bado naona kuna umuhimu mkubwa kwa wapiga kura kumjua mgombea Urais mapema. Kumjua mgombea Urais miezi mitatu kabla ya uchaguzi ni muda mfupi both kwa huyo mgombea kujitangaza vya kutosha na kwa wapiga kura kumjua kiundani.
Mimi I wouldn't worry much kupelekea wajumbe vijijini kwa sababu naamini mjini ndiko kwenye kura na watu wengi wapiga kura. CDM imeshinda uchaguzi uliopita kutokana na kujitika mijini amini maneno yangu kwani agenda ya UFISADI ilikuwa na mvuto zaidi mijini.. Watu wengi ktk population yetu wapo mijini, kuanzia makao makuu ya tarafa, wialaya na mikoa sema tu kwamba tulikosa mpiganaji wa WAKULIMA vijijini..Kwa kuongezea tuu kama Chadema wanataka washinde itabidi walekeze kampeni zao kwenye grass root zaidi tena from now. Huku mijini watu wana maneno mengi tuu lakini huwa hawapigi kura. Unaona mtu kama Dr Slaa anaweka status fesibuku, comments kibao, lakini ni wangapi kati ya hao wanaocomment watampigia kura? Tena wengi wao inawezekana wanaishi abroad. Na wale watakaopiga kura, they always take into account their future interests as well. Tofauti na watu wa mijini, watu wa vijijini have got nothing material to worry about kama ikija system mpya.
Kama Chadema wanataka kuchukua uongozi wa hii nchi waache kujikita mijini. Inawabidi wakatifue vumbi huko vijijini. Pia itawabidi wabadilishe strategy. Hii mikutano ya hadhara haitawafikisha mbali.
CCM walipokuja na kampeni za Kilimo kwanza, sii tu waliweza kujitangaza vijijini bali waliweza kufikisha ujumbe wao kwa wahusika na wananchi walijua CCM ndicho chama kitakachowaokoa wakulima. Kura za wakulima zikapelekwa CCM. JK hakuwa na haja ya kuwatembelea wana vijiiji lakini aliweza kuwarubuni kama alivyoweza ktk swala la mahakama ya kadhi..
Mwaka 2000 niliwahi kusema atakaye wafuata wanawake na kuwapa ahadi kutokana namfumo ulopita kuwasahau ktk keki ya Taifa ndiye atakuwa mshindi na JK alitumia mbinu hiyo zaidi ya wagombea wote akaondoka na asilimia 80% moslty zikitoka kwa wanawake.. Leo hii narudia tena kusema wananchi wa vijijini hawana haja ya kuiona sura ya Dr.Slaa wala mgombea yeyote bali mkakati wenye ujumbe unaweza kuwaondoa ktk umaskini WAKULIMA ndiye ataweza kushinda!..swala la ardhi na kilimo litakuwa ujumbe mkubwa kwao na hawa ndio watakuwa the independent and deciding voters wa uchaguzi ujao..Lakini tu itawezekana kama vyombo nilivyotaja hapo juu vitakuwa huru, uwazi bila upendeleo.
Mkuu EMT,
Nadhani unachanganya mambo. Dr. Slaa anaongelea uchaguzi wa ndani wa chama, yaani kuchagua viongozi kuanzia ngazi za matawi, kata, wilaya, mkoa na hatimaye taifa.
Wewe unaongelea uteuzi wa mgombea wa urais kupitia chama. Sina hakika kama Katiba ya Nchi inaruhusu kuteua mgombea wa urais miaka 4 kabla ya mwaka wa uchaguzi. Ndiyo maana Tume ya Uchaguzi kwa kufuata Sheria ya Uchaguzi huwa inatangaza ratiba ya kuchukua na kurudisha form za uteuzi. Pia ratiba hiyo huwa inatumika kuvi-guide vyama vya siasa kupanga ratiba za primaries na nominations za wagombea wa ngazi zote za udiwani, ubunge na urais. Kwa hiyo kuteua mgombea miaka 4 kabla inaweza kuwa ni kuvunja sheria. Pia kuna mabadiliko mengi ambayo yanaweza kutokea along the way, mfano, magonjwa, vifo na mengineyo.
Hata kama sheria inaruhusu kuteua mgombea miaka 4 au 3 kabla ya mwaka wa uchaguzi, inaweza kuwa rahisi sana kuwekewa pingamizi kwa kuwa hatakiwi kufanya mikutano ya hadhara ambayo ina taswira ya kampeni. Kwa hiyo mgombea huyo anatakiwa kuwa makini sana na kauli zake kwenye vyombo vya habari na hata kwenye mikutano ya hadhara, akiteleza kidogo tu inakuwa ni mwanya wa kuwapa nafasi ya kuweka pingamizi kwamba kuna mtu alianza kufanya kampeni kabla ya muda. Kama unakumbuka ile mikutano ya Dr. Slaa ya kusaka wadhamini na kujitangaza, CCM walitaka kuitumia kumuwekea pingamizi Dr. Slaa. Baadaye hiyo hoja sijui iliishia wapi, nadhani labda walikuwa wanajiamini, lakini baada ya matokeo ya 2010 na haya ya uchaguzi mdogo wa Igunga, CCM hawawezi ku-risk kutotumia mwanya wowote wa kuweka pingamizi dhidi ya mgombea wa upinzani ambaye anaonekana ni tishio kwao.
Mimi ninachofikiria ni kwamba kuteua mgombea urais mwaka wa uchaguzi siyo mbaya, na wanaweza kuteua hata mwezi March au mapema kidogo [iwapo sheria inaruhusu].
Marekani wanaingia kwenye uchaguzi mwakani, lakini mpaka sasa Republican bado hawajajua ni nani atapambana na Obama. Primaries zinaanza mwakani mwezi January, so may be mpaka mwezi March/April wanaweza kuwa wanajua ni nani atakuwa mgombea wa urais kupitia chama cha Republican.
Hata Operation Sangara waliibeza hivi hivi matokeo ya operation hiyo ndiyo yanawahangisha leo hii.Hiyo ni mipango ya kwenye makaratasi,, utekelezaji wake ni sehemu ingine tena, ina changamoto nyingi na mapito mengi, je? Ukomavu na uvumilivu wenu utawafikisha 2015 bila kupigana vikumbo ninyi kwa ninyi?.. mna lengo zuri lakini jipangeni kitaifa acheni siasa za kulipua mabomu waelezeni wananchi niya na madhumuni ya kutaka kuwaongoza kujenga kuheshimiana na kuaminiana ndani ya chama chenu na vyama vingine , serikari na vyombo vyake.
EMTMkuu kwa hiyo Chadema waliogopa kuntangaza Dr Slaa mapema kwa kuogopa kuwa atachafuliwa na CCM? Na hata kama ni hivyo Dr Slaa ndie atakuwa mgombea pekee wa Urais in future? Au wagombea wengine nao watakuwa na issues alizokuwa nazo Dr Slaa? Bado naona kuna umuhimu mkubwa kwa wapiga kura kumjua mgombea Urais mapema. Kumjua mgombea Urais miezi mitatu kabla ya uchaguzi ni muda mfupi both kwa huyo mgombea kujitangaza vya kutosha na kwa wapiga kura kumjua kiundani.
Kwa kuongezea tuu kama Chadema wanataka washinde itabidi walekeze kampeni zao kwenye grass root zaidi tena from now. Huku mijini watu wana maneno mengi tuu lakini huwa hawapigi kura. Unaona mtu kama Dr Slaa anaweka status fesibuku, comments kibao, lakini ni wangapi kati ya hao wanaocomment watampigia kura? Tena wengi wao inawezekana wanaishi abroad. Na wale watakaopiga kura, they always take into account their future interests as well. Tofauti na watu wa mijini, watu wa vijijini have got nothing material to worry about kama ikija system mpya.
Kama Chadema wanataka kuchukua uongozi wa hii nchi waache kujikita mijini. Inawabidi wakatifue vumbi huko vijijini. Pia itawabidi wabadilishe strategy. Hii mikutano ya hadhara haitawafikisha mbali.
Mgombea urais?..... si ameshachaguliwa? au hujui hilo?Kwa hiyo muda wa kumchagua mgombea urais upo pale pale? Three months or so kabla ya uchaguzi?
Mgombea urais?..... si ameshachaguliwa? au hujui hilo?
By Mikael P Aweda
Kwa kuwa umejiita mwanachadema ni vizuri nikukumbushe kwamba umekwenda kinyume na kanuni za Chadema. Huwezi kutumia maneno hayo kwa kiongozi wa juu yako. Ni sawa na kuwatukana wajumbe wote wa kamati kuu, Baraza kuu na Mkutano mkuu waliosema anayefaa kuwa mgombea wa Chadema 2015 ni Dr Slaa na siyo Ntogwisangu.
Nilivyoona mimi ni 2015, sasa kama wewe ndiye Aweda Poa!!, rekebisha basi.Sitaki kuamini kama kweli hukuelwe sentensi ya Aweda kuwa alikuwa ana refer kikao kilichopita na uchaguzi wa 2010.
ndoto za alinacha.