Ansbert Ngurumo: Roma 1,300, CCM 50

Ansbert Ngurumo: Roma 1,300, CCM 50

kaandika kwa hisia zake af anasingizia kuwa ni watu wa ccm.yeye anapandikiza chuki zake kwa jamii baada ya kukosa ile nafasi ya mkugenzi wa habari ikulu kama alivotarajia.Ansbert Ngurumo ukimfahamu wala hakupi shida.
Nyie wana ccm mna tatizo moja kubwa la uvivu wa kufikiri...hamtaki kusumbua kichwa kila mara mnakuja na majibu mepesi na hoja dhaifu kny mambo ya msingi.Ndio maana hujasumbua kichwa kutafakari hoja kny hii makala kama kawaida ukaja na majibu yenu ya kitoto.Ukirudi utasema katumwa na wapinzani aje kuandika.Chuki gani zinapandikizwa hapa tumia kichwa kufikiri
 
kwa hiyo ccm na serikali zitakufa kwa sababu hazina hela? mwandishi kilaza jina linamlinda
mkuu huoni kama wewe ndo kilaza...katika makala hii umeona sababu ni kukosa pesa....kweli magamba mmeishiwa uwezo wa kufikiri
 
Mpiga debe wa Mkapa leo ndio anaiona CCM itakufa. Yupo dwati moja na swahiba yake mpiga debe wa Mwandosya.
Baada ya kuhamia Billicanas leo ndio wanakuja na ngonjera za CCM kufa. Njaa mbaya sana. Sijui kwanini yule mwana CCM mtaka Urais kwa udi na uvumba hajawatembelea hawa Jamaa.

Hakuna wasomi wepesi kununuliwa Tanzania kama waandishi wa habari!
 
Hapana Mkuu, Ngurumo anaposema miaka 50 ya CCM ana maanisha CCM ile iliyorithi mirathi ya TANU. Ndiyo tunakubali CCM ilizaliwa 1977 lakini ni muendelezo wa TANU. Ndiyo maana mwenyekiti aliyekuwepo TANU ndiyo yule yule aliendelea kuingoza CCM, hata wajumbe wengi wa vikao vikubwa vya TANU (Mfano Mkutano Mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati kuu) weliendelea kuwa wajumbe wa vikao hivyo hivyo vya CCM!

Hicho ulichoandika , je kinamaana sawa na hiki alichoandika Ngurumo?
Ukweli huu kuhusu Roma unaihusu CCM pia. Kwa ukali huu wa maisha, ukata na kushindwa kwa serikali, inatengeneza jeshi kubwa dhidi ya watawala. Kilichoitokea Roma katika miaka 1,300 ndicho ninachokiona ndani ya miaka 50 ya CCM. Je, huko tunakoelekea yupo anayeweza kuinusuru?
 
Back
Top Bottom