naibu katibu mkuu wa CUF ndugu Julius Mtatiro yupo zake chuo cha SAUT kwa mkutano na wanafunzi ambao ni wanachma wa chama hiko ila mwtikio wa wanafunzi ni mdogo. Je chama kishapoteza dira??
Masaburi at work! Hivi kwa akili za kimasaburi hivi unaweza ukaraise hata better family wewe? Shame on you guinegog!!!!!!!!!Ninyi watoto wa kikristo na chama lenu la kanisa CHADEMA na padri wenu Slaa you will never win Muslim minds kwa kauli zenu hizi za kitoto! Si ajabu Zitto na Mzee Afri walimgomea Padri wenu alipowataka watoke bungeni wakati Rais Kikwete akihutubia. Shame on you!!
udini utaimega tz
Masaburi at work! Hivi kwa akili za kimasaburi hivi unaweza ukaraise hata better family wewe? Shame on you guinegog!!!!!!!!!
Ninyi vijana wageni Chadema msichokielewa ni kuwa mnapo inasibisha CUF na waislam au kejeli zenu Uislam cum udini hamjui kuwa kuna wanachadema wa ngazi za juu kabisa waislam wenye mapenzi na chama chao......Mtaje Mzee Bob Makani, Said Afri, Zitto Kabwe, Jafari Kasisiko,....hao wote ni waislam watanzania bara....hivi hamuelewi athari ya matusi yenu kwa CUF na kuinasibisha na Uislam!
nimemtwanga Mtatiro swali, Je haoni kubaki ndani ya chama watamuita kuwa ni KAFIRI?. Swali 2: matokeo ya kidato cha nne yanaonesha shule zinazomilikiwa na dini ya chama chake zimeboronga sana. Je mkakati gani chama chake cha CUF kitachukua kukabiriana na hii aibu?. Bado hajanijibu
naibu katibu mkuu wa CUF ndugu Julius Mtatiro yupo zake chuo cha SAUT kwa mkutano na wanafunzi ambao ni wanachma wa chama hiko ila mwtikio wa wanafunzi ni mdogo. Je chama kishapoteza dira??