Julius Mtatiro ndani ya SAUT-Mwanza leo

Julius Mtatiro ndani ya SAUT-Mwanza leo

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
11,451
Reaction score
9,966
naibu katibu mkuu wa CUF ndugu Julius Mtatiro yupo zake chuo cha SAUT kwa mkutano na wanafunzi ambao ni wanachma wa chama hiko ila mwtikio wa wanafunzi ni mdogo. Je chama kishapoteza dira??
 
cuf wamepoteza dira watake wasitake
 
Si Jussa alisema CUF ni ya Waislam na Watu wa Zanzibar tu? Au anazungumza na wazanzibar wa SAUT?
 
Huyu jamaa naona kama anapoteza sana muda wake kuwa huko, anaweza kukikuza chama huku bara then kikianza kupata umaarufu tu wanamtosa b/se yeye ni mkristo, aje Chadema kusiko kuwa na udini hata kidogo.
 
Jussa: Tulishindwa Uzini kwa sababu kuna Wabara na Wakristo!
Hii kauli itaitesa sana CUF katika maisha yake yote ya Siasa!
 
naibu katibu mkuu wa CUF ndugu Julius Mtatiro yupo zake chuo cha SAUT kwa mkutano na wanafunzi ambao ni wanachma wa chama hiko ila mwtikio wa wanafunzi ni mdogo. Je chama kishapoteza dira??

Sio chama kishapoteza dira ila KISHAJIFILIA Na huko SAUT wamemheshimu kweli muulizeni U-DOM last week alitolewa nduki akiwa na Mhe. Sakaya na Juha ooh soree Jusa.
 
Sio chama kishapoteza dira ila KISHAJIFILIA Na huko SAUT wamemheshimu kweli muulizeni U-DOM last week alitolewa nduki akiwa na Mhe. Sakaya na Juha ooh soree Jusa.

me naona anajipotezea muda tuuu
 
Ninyi watoto wa kikristo na chama lenu la kanisa CHADEMA na padri wenu Slaa you will never win Muslim minds kwa kauli zenu hizi za kitoto! Si ajabu Zitto na Mzee Afri walimgomea Padri wenu alipowataka watoke bungeni wakati Rais Kikwete akihutubia. Shame on you!!
Masaburi at work! Hivi kwa akili za kimasaburi hivi unaweza ukaraise hata better family wewe? Shame on you guinegog!!!!!!!!!
 
Jussa: Tulishindwa Uzini kwa sababu kuna Wabara na Wakristo!
Hii kauli itaitesa sana CUF katika maisha yake yote ya Siasa!

kwa mtindo huu magamba watatunyonya milele
 
udini utaimega tz

Mara ngapi? Wakati kitu kikiongozwa/kikishikwa /kikianzishwa na Muislam hicho ni cha Udini -Uislam. Ndio vita yenu na CUF. Ndio vita yenu na JK. Angalau basi mngeiletea nchi maendeleo tungejivunia ninyi wachapakazi wetu!! Kikowapi na umasikini wetu, ujinga wetu, maradhi yetu! Kuna watu wanasema waliofeli Form Four mwaka huu ni Waislam...kwa kutazama majina ya Shule!! Ujinga ni mzigo.
 
taje ruhusa wakati Lissu alinyimwa kufanya the same thing au walikua na malengo tofauti?
 
Masaburi at work! Hivi kwa akili za kimasaburi hivi unaweza ukaraise hata better family wewe? Shame on you guinegog!!!!!!!!!

Ninyi vijana wageni Chadema msichokielewa ni kuwa mnapo inasibisha CUF na waislam au kejeli zenu Uislam cum udini hamjui kuwa kuna wanachadema wa ngazi za juu kabisa waislam wenye mapenzi na chama chao......Mtaje Mzee Bob Makani, Said Afri, Zitto Kabwe, Jafari Kasisiko,....hao wote ni waislam watanzania bara....hivi hamuelewi athari ya matusi yenu kwa CUF na kuinasibisha na Uislam!
 
ndo nmetoka class time hii ngoja niingie hapa mkutanoni nimsikilize mtatiro najua kabisa hana jipya ila ngoja niende tuu
 
Ninyi vijana wageni Chadema msichokielewa ni kuwa mnapo inasibisha CUF na waislam au kejeli zenu Uislam cum udini hamjui kuwa kuna wanachadema wa ngazi za juu kabisa waislam wenye mapenzi na chama chao......Mtaje Mzee Bob Makani, Said Afri, Zitto Kabwe, Jafari Kasisiko,....hao wote ni waislam watanzania bara....hivi hamuelewi athari ya matusi yenu kwa CUF na kuinasibisha na Uislam!

nimemtwanga Mtatiro swali, Je haoni kubaki ndani ya chama watamuita kuwa ni KAFIRI?. Swali 2: matokeo ya kidato cha nne yanaonesha shule zinazomilikiwa na dini ya chama chake zimeboronga sana. Je mkakati gani chama chake cha CUF kitachukua kukabiriana na hii aibu?. Bado hajanijibu
 
anadai CUF hawatoshiriki uchagzi mdogo wa Arumeru kwa kuwa CCM na CHADEMA wana wafuasi wengi hukooo
 
nimemtwanga Mtatiro swali, Je haoni kubaki ndani ya chama watamuita kuwa ni KAFIRI?. Swali 2: matokeo ya kidato cha nne yanaonesha shule zinazomilikiwa na dini ya chama chake zimeboronga sana. Je mkakati gani chama chake cha CUF kitachukua kukabiriana na hii aibu?. Bado hajanijibu

nimeingia hapa mkutanoni muda si mrefu..naona anajibu maswali
 
naibu katibu mkuu wa CUF ndugu Julius Mtatiro yupo zake chuo cha SAUT kwa mkutano na wanafunzi ambao ni wanachma wa chama hiko ila mwtikio wa wanafunzi ni mdogo. Je chama kishapoteza dira??

Unauliza makofi police???
 
naona Mtatiro anamkashifu Hamad Rashid hapa
 
Kama cuf ni cha waislam na chadema ni cha wakristo. Ni ccm tu kinaweza kujinasibu angalau hakina udini.wako wengi tu wako CDM Kwa sababu ni wakristo na ndo maana anashangilia watu kufeli akijiamisha waliofeli ni waislam(udini).na wapo walioenda cuf kwa sababu ni waislam
 
Back
Top Bottom