Recent content by Numero Uno

  1. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania Asante sana Azam tv

    Dstv, supersport the best Kuna aina ya mashindani hayanogi kwa kutangazwa kwa lugha ya kiswahili
  2. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania Aibu nyingine inatokea usiku wa leo

    Timu bovu limeonekana
  3. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania Aibu nyingine inatokea usiku wa leo

    Siwezi kimbia
  4. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania Aibu nyingine inatokea usiku wa leo

    Amna watu naona majinga kama nyie mnaoongela ushabiki wa mchezaji mmoja mmoja , Bro umeanza kushabikia mpira baada ya ujio wa azam tv? Sema sababu za argentina kushinda, mambo ya Ronaldo ya nini hapa?
  5. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania Aibu nyingine inatokea usiku wa leo

    Baada ya France kufungwa na kupigiwa mpira mkubwa sasa kesho ni zamu ya Argentina ambaye kuanzia group stage mpaka quarter final amekuwa akicheza na vibonde pamoja na kubebwa na marefa Sasa kesho bigwa wa mbinu na bigwa wa knockout Tomas Tuchel atawaonesha ubovu wa Argentina
  6. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania Hakuna kuridhiana na wauaji, watekaji, na walawiti. Ulijitia kiburi leo unataka maridhiano ya nini?

    Ike hotuna mbele kulikuwa na kitu anasoma maana alikuwa apepesi macho pemeni
  7. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania Jamani WhatsApp vipi huko, inapatikana?

    Inapatikana
  8. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania Ripoti batili ya vitu vilivyoharibiwa wakati wa maandamano

    Pikipiki binafsi 2268 Kwamba watu wa boda boda walikuwa wanatelekeza boda na kukombia?
  9. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania Tunaenda Kondo kuujua ukweli

    Any update
  10. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Inawezekana kuwa ni visasi, maana kila idara wamewekana wao kutoka Zanzibar

    Yani mkoa kama unrusha una waziri mmoja ambae ni naibu waziri wa pili, ila zanzibar ina mawaziri wengi
  11. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 VIDEO: Huyu mrembo naye alihusika kuua ndugu zetu Oktoba 29

    Maushabiki yakijinga
  12. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu atoa idadi ya Vitu na miundombinu iliyoharibiwa katika vurugu za Oktoba 29

    boda boda 2268 je hii idadi ni ya kweli?
  13. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia amteua Binti yake Wanu Hafidh, kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu

    CV yake ina nini kama sio unatetea vilaza
  14. Numero Uno

    JamiiForums Tanzania GE2025 Boniface Jacob amekuwa kimya kipindi chote cha uchaguzi, ipi sababu ya kukamatwa kwake?

    Boniface Jacob amekuwa kimya kabla ya kuanza kwa uchaguzi,sababu ya yeye kukamatwa mi nini?
Back
Top Bottom