Recent content by Numero Uno

  1. Numero Uno

    Hakuna kuridhiana na wauaji, watekaji, na walawiti. Ulijitia kiburi leo unataka maridhiano ya nini?

    Ike hotuna mbele kulikuwa na kitu anasoma maana alikuwa apepesi macho pemeni
  2. Numero Uno

    Ripoti batili ya vitu vilivyoharibiwa wakati wa maandamano

    Pikipiki binafsi 2268 Kwamba watu wa boda boda walikuwa wanatelekeza boda na kukombia?
  3. Numero Uno

    Tunaenda Kondo kuujua ukweli

    Any update
  4. Numero Uno

    PostGE2025 Inawezekana kuwa ni visasi, maana kila idara wamewekana wao kutoka Zanzibar

    Yani mkoa kama unrusha una waziri mmoja ambae ni naibu waziri wa pili, ila zanzibar ina mawaziri wengi
  5. Numero Uno

    GE2025 Boniface Jacob amekuwa kimya kipindi chote cha uchaguzi, ipi sababu ya kukamatwa kwake?

    Boniface Jacob amekuwa kimya kabla ya kuanza kwa uchaguzi,sababu ya yeye kukamatwa mi nini?
  6. Numero Uno

    GE2025 Nitaumia sana kama mgombea urais Samia Suluhu akishinda na kutuongoza kwa miaka mitano ijayo

    Nimeamka na mawazo mengi sana juu yahombea huyu iwapo atshinda uchahuzi mkuu wa 2025 na kupata idhini yakutuongoza mpaka 2030 Nimekuwa nikisikiliza kampeni zake lakini zimekuwa hazina hoja wala mashiko SIONI NURU KABISA MUNGU IBARIKI TANZANIA
  7. Numero Uno

    Gypsum board design ya kuficha curtain roads

    Badilisha fundi mkuu huyo fundi wako yupo nyuma ya muda
Back
Top Bottom