Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,372
- 3,131
Duh
Beauty is in the eyes of the beholder!Hakuna mrembo hapo
Kaamua kujificha kwenye urasi ili sijulikane lakini huyu yuko kwenye task forceDaah aisee kweli kabisa hakuna Rasta ambae anaweza kushika SMG na kuua watu hovyo..
Ok sawa sawa aisee..Huyu ni task force ya mafwele. Kaua raia wengi sana zaidi ya miaka 10 amekua akihusishwa na mauaji nchi nzima. Kwenye kila oparation ya kuteka na kuua vijana humkosi.
Nimeshangaa sana inatakiwa akate hizo nywere..Rastafarian Huwa Hawa amini kwenye violence na ndio maana true rastafarian Huwa ni mtu amani na upendo
Sijui huyo ni Rasta ganiii
Kuna askari wengi sana marasta hasa usalamaDaah aisee kweli kabisa hakuna Rasta ambae anaweza kushika SMG na kuua watu hovyo..
Huyu jamaa WA jezi ya yanga anaonekana alipiga show Barbara si ndo Yule yupo kwenye Ile picha wapo kama wanne hivi 🤣🤣 nasikia alikuwa akiona umeshika mtungi wa gesi unakimbia nao haulizi anafokoa tu.Na jamaa wa jezi ya Yanga kapita mbio hapo akitoka kupora uhai wa vijana.
Ok mimi sijawahi kuona Rasta kashika SMG kama huku SA hawezi hata kuvuka bara bara na rasta zake akiwa na mashine...Kuna askari wengi sana marasta hasa usalama
What a man can do, a woman can do better.
na wa makolo yupoView attachment 3507359
Hawa ndio wanawatumia kwenye operations katili. Unakuta ni majitu yanayotumia bangi sana. So they don't care.Huyo jamaa kafuga nywere huku anashika siraha ya kuua..
Unapotosha ndugu what a woman can do a man can do better.What a man can do, a woman can do better.
Hata Sharif Majinn alipigwa akiwa na mtungi wa Gesi.Huyu jamaa WA jezi ya yanga anaonekana alipiga show Barbara si ndo Yule yupo kwenye Ile picha wapo kama wanne hivi 🤣🤣 nasikia alikuwa akiona umeshika mtungi wa gesi unakimbia nao haulizi anafokoa tu.
Nimeuona tena jezi ya yanga imepita hapa na bundukiPisi kali hiyo kwenye Video naye mikono yake imejaa damu. Hakuna huruma lazima kisasi kiwepo. Hakuna kuwaobea huruma.
adriz de mbusii
SAFI SANA SHUJAA WETUPisi kali hiyo kwenye Video naye mikono yake imejaa damu. Hakuna huruma lazima kisasi kiwepo. Hakuna kuwaobea huruma.
adriz de mbusii
nasikitika sana hawakufanya kazi vizuri uilitakiwa wapige vichwa kweli kweli wasehnzi wakomeAnakimbia huku anasema "gusa achia twende kwao".
Msemaji wao alituambia wiki kadhaa kabla kuwa safari hii wanapiga za kichwa tu (siyo kama zile za Lissu), wengi mkadhani anaongelea mamipira.
😂😂😂😂😂😂😂Mrembo sijui pisi kali kisa umeona hilo fuko la mavi?