JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Umri wa miaka 40
Strategic relationship inatakiwa ianze mapema unapoingia miaka 30, Ila vijana wengi huwa hatuelewi namna ya kuset mikakati katika mahusiano, na hata kama tukikumbushwa huwa hatuzingatii na tunakuwa tunaendelekeza shape, sura na hali ya fedha.
Wenza wazuri wa kufanya maisha hawapatikani kwenye...