Recent content by NUMBER 10

  1. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania Iran inajitahidi sana kwa kweli. Ona hizi picha

    Iran anapigana vita, israel anavizia kuua raia na viongozi
  2. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha Silaha cha Rwanda. Wapo mbali sana hawa jamaa

    Wapeni sifa za kijinga tuu, wenzao wazayuni wanaojiona special kama wao wanaliua taifa lao haramu kwa mikono yao kwa kupika chuki na mataifa ya ulimwengu. Hadi wanaowakubali weanza kujitwnga nao uongo wao umeshidhirika kwa matendo yao maovu
  3. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania Kwa mikopo tuliyokopa kwa ajili ya miradi ya kimkakati, Vikwazo vya kiuchumi viko njiani tuwe makini

    Watanzania hasa viongozi wa serikali wanaogopa maisha, vikwazo ni moja kati ya changamoto zinazosababisha kukua katika nyanja zote. Kitu muhimu ni kujipanga na matumizi ya rasilimali tulizonazo. Hii miongozo ya kisera ambayo tumerithi muda mrefu inaturejesha nyuma sana. Kwa mfano hii sera ya...
  4. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

    Nafkir wakristu hususan wa kitanganyika huwa hamfundishwi adabu makanisani mwenu. Mnachoelekezwa ni kuwa mazwazwa na kusamehewa zambi. Hata kuongea hamjui, wehu kupita kiasi na mnajiona mnaakili na maarifa. Ati zanzibar inatoa vilaza. Umeshawahi kusoma na wazanzibari ukagundua kuwa wao ni...
  5. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania Udhalilishaji wa Kijinsia Arabuni wavuka Mipaka - Achezea vibao Hadharani

    Uwache chuki na uislamu. kulingana na kipande hiki cha video, hii inaonekana dhahir kwa aliyekosa adabu ni mwanamke aliyeanza kumzaba kibao askari. Askari amechukua hatua kwa kurejesha kibao kwa raia ambae ni mwanamke. Hivyo ulitamani askari akubali udhalilishaji aliofanyiwa kisa aliyeanza...
  6. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania Kashfa ya signalgate: Siri za kijeshi na athari kwa siasa za kimataifa

    Washington DC Katika tukio linalotikisa anga za kisiasa na kijeshi za Marekani, uvujaji wa mazungumzo ya siri ya maafisa waandamizi umefichua mjadala wa kina kuhusu mipango ya mashambulizi dhidi ya waasi wa Houthi nchini Yemen. Kisa hiki, kilichobatizwa jina la SignalGate, kimeibua maswali...
  7. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia afunguka ya Moyoni: Kuna waliosema tuna Rais wa kuambiwa afanye na mwenye maamuzi ya Kitchen Party, hatuna Rais tuna House girl…

    Watanganyika mnachokitafuta mtakipata, kiko jikoni chungu chungu cha dawa na inawahusu hadi mpone maradhi mlonayo
  8. NUMBER 10

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Round 1 siku 1: Why?

    Mwache haraka, atakufanya uwe mfungwa wake mwache haraka sana
  9. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania Tuweka mihemko pembeni, Hezbollah kapigwa kachakaa, pona yao ni Biden kuinyima Israel silaha kulazimisha cease fire

    Waisrael wanasema weshindwa nyie akina nani mtuambie tofauti
  10. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania Kimewaka, Jamaa kasomesha binti kapata kazi kamueleza jamaa sio type yake

    Wanawake huwa wanatafuta matatizo kusudi, hivi unapataje ujasiri wa kumkataa mwenzako ambae amejitoa jumla jumla kwako ili muww kwenye maisha. Ndio huwa tunalaume vijana wa kiume hawaoi na wala hawaishi na wachumba kisa na mkasa ni hii tabia.
  11. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania Kibu Denis ana kitu gani cha maana ambacho sisi mashabiki hatukioni?

    Kibu ana vibes la kutafuta goli, yumkini hana maarifa ya kufunga magoli, hana maarifa ya kiifundi kushawishi walinzi lakini ana nguvu na muandaaji wa pirika pirika za kutafuta magoli. Walimu wanajua kazi na umuhimu wake akiwa kiwanjani, ila mashabiki na watazamaji huwa hatuna muda wa kumjaribu...
  12. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania Serikali: Toeni tamko Land Rover Festival liwe tukio rasmi la kufanywa kila mwaka kama tukio kubwa zaidi la kiutalii kwa Kanda ya Kaskazini

    Tahadhari na aibu. Fedhaha hugeuka kuwa maradhi mabaya yasiyotibika kwa haraka
  13. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania Iran inder INTENSE cyber-attack. ALL critical infrastructure affected

    Lisemwalo lipo, haijapata kutokea taifa lenye mapandikiza ya MOSAD kama Iran, na ndio maana hawana wanaloweza kupanga wayahudi wa mchongo wasitambue. Kitu muhimu wanachopaswa kifanya ni kujichunguza upya ili kupunguza ama kuondoa kabisa mapandikizi ya MOSAD katika serikali na mitaa yao
  14. NUMBER 10

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umri wa miaka 40

    Strategic relationship inatakiwa ianze mapema unapoingia miaka 30, Ila vijana wengi huwa hatuelewi namna ya kuset mikakati katika mahusiano, na hata kama tukikumbushwa huwa hatuzingatii na tunakuwa tunaendelekeza shape, sura na hali ya fedha. Wenza wazuri wa kufanya maisha hawapatikani kwenye...
  15. NUMBER 10

    JamiiForums Tanzania Marekani kashindwa kuikinga Israel dhidi ya ICBM

    Mateso ya kisaikolojia, kiuchumi na kisiasa Netanyahu anakuwa chizi fresh muda mfupi ujao
Back
Top Bottom