Recent content by Ntumigwa

  1. N

    DODOMA: Zitto na kamati yake wamekesha

    Jana usiku ccm wamekubaliana kutetea kwa namna yoyote asin'goke mtu! Cha ajabu eti ni Shinikizo kutoka kwa bwana mdogo Riziwani kweli sisiem wamelogwa! Nimeona jambo la ajabu jinsi dogo alivyokuwa na mamlaka alikuwa anawafokea wazee wote kimya eti wakiwaza kuwa ametumwa na baba yake.
  2. N

    APPLE vs SAMSUNG wapata MpinzanI

    Zinapatika wapi mkuu?
  3. N

    Ajali mbaya ya basi la Meridian

    Poleni sana majeruhi. tatizo la Nchi yetu Wamiliki wa basi hawazingatii kabisa kuyapeleka mabasi yao garage kukaguliwa kama liko katika hali nzuri na linafaa kubeba abiria , na Traffic wetu huwa wanafurahia kuona gari lenye matatizo likiwa barabarani kwani linakuwa mtaji kwao. MUNGU ATUSAIDIE...
  4. N

    Mgeni kwenye jukwaa

    Salaam kwenu gteat thinkers wote kwenye JF Mwenzenu ndiyo kwanza nimejiunga natumaini ushirikiano wenu!
Back
Top Bottom