APPLE vs SAMSUNG wapata MpinzanI

APPLE vs SAMSUNG wapata MpinzanI

mfano unaandika kitu unahitaji picha utoe kwenye website mbalimbali na pia sometime inabidi kugoogle ili kuandika kitu chenye kueleweka.

multitasking ya android si muda wote inaeleweka sometime unaadika kitu ukirudi inareload page hivyo unapoteza vitu vya mwanzo.

wakati mwengine app inacrash. imagine umetumia nusu saa kuandika kitu halafu app inacrash unaanza upya kabisa inaboa.

operamini pia ina speed kubwa na haihitaji kuload page ukibonyeza back hivyo unabrowse site nyingi kwa muda chache na kuweza kusave time ya kufanya mambo mengine

saluti kwako mkuu
 
Kit Vivo Xplay 3S ndio habari ya mini
gsmarena_003.jpg

Specifications
1.RAM 3GB
2.internal memory 32
3.camera 13 pixels back and 5 frontThe Vivo Xplay 3S is powered by a Snapdragon 800 chipset - quad-core Krait 400 CPU at 2.3GHz, Adreno 330 GPU and 3GB of RAM. On the connectivity side there's both TD-LTE and FDD-LTE.

The camera is a 13MP shooter with a fast f/1.8 aperture. Next to it is a fingerprint scanner and there's a 5MP camera on the front. Vivo has created a custom camera app called Photo+, which shares your videos to the cloud and features augmented reality.

Hii ili ikae na chaji masaa mawili inahitaji 10000MaH battery
 
mfano unaandika kitu unahitaji picha utoe kwenye website mbalimbali na pia sometime inabidi kugoogle ili kuandika kitu chenye kueleweka.

multitasking ya android si muda wote inaeleweka sometime unaadika kitu ukirudi inareload page hivyo unapoteza vitu vya mwanzo.

wakati mwengine app inacrash. imagine umetumia nusu saa kuandika kitu halafu app inacrash unaanza upya kabisa inaboa.

operamini pia ina speed kubwa na haihitaji kuload page ukibonyeza back hivyo unabrowse site nyingi kwa muda chache na kuweza kusave time ya kufanya mambo mengine

Chief nakukubali sana. Hivi suala la betri limekaaje? Mie Nina galaxy S4 nilinunua nje ila betry inanitesa sana. Hakuna ujanja wao kupata resistant one?
 
Chief nakukubali sana. Hivi suala la betri limekaaje? Mie Nina galaxy S4 nilinunua nje ila betry inanitesa sana. Hakuna ujanja wao kupata resistant one?

hella yako tu kaka kwa dola 40 unapata battery ya 7500mah ambayo itakaa na chaji mara 3 ya hiyo.

kama ilikua kwa matumizi yako inakaa na chaji masaa 8 basi hii itakaa masaa 24.

ipo ebay na amazon search keyword hizi.

ZEROLEMON S4
 
Ndo matatizo ya kutumia Nokia hayo mkuu (symbian Platform), Hamia iOS kisha download JF Appliction
symbian haihamiki kaka.

ios na android hadi leo hazina video editor na image editor ya maana nikiwa mbali na pc s3 yangu ni useless kwenye hayo mambo ndipo mzee mzima symbian anapofanya kazi yake.

c++, python na qt always ni best kuliko java. na zikiisha symbian najua imate watakua washatoa ile simu yetu ya windows.
 
Back
Top Bottom