Hi wanajamvi Cheti kua na utata inamaanisha nini?
Halafu kama mfanyakazi alihama kituo ccha kazi bahati mbaya kule alipotoka akawa hawaku mfungia data sheet haiwezi kusababsha mgongano wa majina na kuonekana kunautata?
Yaani anaenda stationary anatengenezewa cheti kwa kutumia namba hiohio ya Cheti original alicho feli lkn anabadilisha grades na division ili aweze kupata sifa za kusomea mfano udaktari au uinjinia etc
Tatizo kubwa ni bado hatuja pata UHURU yaani kuna mfumo flani unatakiwa uufate ndio mtu/mtanzania afanikiwe.We hebu imagine yule sijui aliyekua Mku wa wilaya tena anaelimu ya dakta alivo pigwa tu chini na Magu ali lia lia as if sio msomi oor cjui nawategemezi cjui ntaishije msomi mzma je layman...
Mbona taarifa ulizo update kama zmepingana na zile za mwanzo mfano mwanzoni kijiji namaba 16 chadema walishinda lakini ulivo update imeonesha kashindwa HUELEWEKI NA TAARIFA ZAKO MKU.
Jamani bashite anaiharibu hii nchi yani watu wanajitaidi kuanzisha nzuzi zinazo kejeli wasomi wetu ili waonekane Elimu zao hazina maana yaani=bashite.Duh watz hawafai...
Mei mosi naona ipo kwenye maandalizi ya kuwahadaa wafanyakazi.Yaani awamu hii wafanyakazi watammsi jk manake hotuba zake na ahadi zake za mei mosi kuaga anazitimiza kwa 99.99999% sio huyu anaye fikiri bado waziri wa ujenzi.
Hivi bashite anatoka wapi vile.Hata kama ingekua wwe pamoja na ile video iliyo muonesha bashite akivamia clouds still rais alimwambia aendelee kupiga kazi.Ubabe sio suluhu ya matatzo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.