Recent content by Ntetema

  1. N

    Kwa Mambo anayofanya Rais Samia Suluhu, ukiisha mwezi mmoja tutamsahau kabisa Hayati Magufuli

    Hii sheria kandamizi sana na haina faida yoyote! Ni ubinafsi tu wa watu wanaojifikiria wenyewe basi, kisa wao wapo kwenye the so called permanent and pensionable employment, hawawafikirii wengine, nashauri hii sheria Bunge waibadilishe kwa kweli inaumiza sana.
  2. N

    Hospitali ya Taifa Muhimbili yajibu hoja za Wana JamiiForums kuhusu vifo Hospitali ya Muhimbili-Mloganzila

    Huu mtihani wa form 4 au 6? Mbona simple hivyo, maswali mengi yapo level ya chini kabisa ya cognitive domain, acha psychomotor na affective domain zipo kidogo sana, na tunaongelea competence based curriculum, hata kama ni paper one! Form six anaambiwa Mention, list, identity, Name, explain etc...
  3. N

    Unapodaiwa au kumdai mtu uchukue hatua gani!!?

    Asante kwa somo zuri, ustaarabu dawa ya deni ni kulipa ili kesho uaminike tena, cause shida haziishi. Tusifurahie tu kutokupelekwa police.
  4. N

    Matumizi ya Shisha Dar: RC Makonda aumbuliwa na Waziri Mkuu mbele ya Kamanda Sirro

    Anasema watu kumi walikuja kwake, wamuhonge hela, na anawafahamu, mbona haendi mbele zaidi aliwachukulia hatua gani
  5. N

    Maoni: Baraza la Mawaziri lifanye kazi ya ushauri sawa sawa, Rais hakutakiwa kwenda bandarini

    Jamani uongozi ni kazi ngumu sana, huwezi kuwa perfect kila kitu, tumtie moyo Rais wetu, hata wewe ungepewa kuongoza huwezi jua labda kwako yangeonekana mapungufu makubwa zaidi
  6. N

    Ticha gani wa twisheni ulikuwa unamkubali sana

    Ila Mkandawile kwenye Chemistry namkubali saaana
  7. N

    Channel ten ni uchakavu au bado wanajifunza?

    Ila kuna siku zingine wanakuwa vizuri, kwa leo habari haikutulia
  8. N

    Watangazaji wa Morning Magic mnakera kwa kujionyesha wazi kuwa mnashabikia UKAWA

    Hao watangazaji uliowasema ndo wanaongoza kwa kupendwa zaidi, na ndo maana wanawasikilizaji wengi na wanapata matangazo mengi ya biashara. Wanatangaza vizuri
  9. N

    Makete kuangukia mikononi mwa CHADEMA

    Mbogela namkubali
  10. N

    Mtihani wa Darasa la Saba wafutwa

    Sipati picha itakuwaje kama sasahivi english ipo na watu hawajui vizuri hicho kingereza, sasa itakapokuwa kiswahili hadi chuo itakuwaje?
  11. N

    Mtihani wa Darasa la Saba wafutwa

    Kwanza tukubali kiswahili kigumu kuliko kiingereza, hasa cha kishuleni (science), pia tunaongelea projects na international collaboration sijui kiswahili hadi chuo kama tutafika. It means tujiandae kuwekeza pesa nyingi kusomesha watoto wetu English medium au Uganda au Kenya. Tukifikiri kwa...
  12. N

    Kiwanja Kinauzwa Bagamoyo mjini

    Nauzia shida tu. Dalali hatakiwi. Pazuri sana. Pamejengeka haswa hakuna uswahili
  13. N

    Kiwanja Kinauzwa Bagamoyo mjini

    Kiwanja 25 kwa 50 kimepimwa kina ofa karibu na shule ya nia njema sekondari, ni kizuri sana kwa kweli. Kinafaa kwa makazi hata biashara. Bei 12 mil, maongezi yapo. Piga 0714 440 141 / 0754 622 121.
  14. N

    Inakuwaje wanafunzi warudishwe nyumbani kwa kutokuwa na saa za mkononi ?

    Je ungeambiwa uchangie harusi laki moja ngelalamika?
Back
Top Bottom