Makete kuangukia mikononi mwa CHADEMA

Makete kuangukia mikononi mwa CHADEMA

Updates za tuhuma za mchumia tumbo kwa bwana Ahadi Mtweve ni hivi...

Ni kweli bwana Mtweve amefanya kazi tigo Mtwara na Lindi kwa miaka tofauti. Alianza kazi Mtwara mwaka 2012 na kufanya kazi kama Customer Service Executive na baadaye akawa promoted kuwa Branch Supervisor na kuja Lindi mwaka 2014 mwanzoni baada ya tigo kufungua branch yao pale, Mwezi desember 2014 ali-resign kwa lengo la kwenda huko jimboni kwake Makete kujipanga na huo ubunge wake.

Source: Wafanyakazi wenzake Lindi na Mtwara na yeye mwenyewe.

Elezea tuhuma zilizokuondoa usiudanganye umma
 
Tanzania tunakazi ya kuelekea ukombozi wa kweli. Ila hata Nyerere alipokuwa anapigania uhuru wengi walimpinga.
 
Tunacho omba musije kutafuta vyeo mana ukishindwa kwenye kura za maoni unahama unaanza kusema oooh democrasia hamna ila ukipita utasema democrasia ipo cdm muwe makini kwenye uchaguzi wa watu huku chato watia nia wanaonywa na wanainch kuwa mtia nia atakaye hama kwa kushindwa kwenye kura ya maoni wataonyesha hasira zao kwake
 
NCHI NILIZOTEMBELEA
Ni Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda, Mozambique, Zanzibar na Malawi.
Kwa CV hii inaelekea haijui nchi yetu. Nchi hapo kwenye red haipo. Labda angekuwa anagombea jimbo la Mchambawima Znz angepewa kura zote. Kwa hili ameonyesha very low Profile ya uelewa wake hasa kwa GT.
mkuu Gwangambo , Zanzibar ni nchi , chukua katiba yao uisome .
 
Wana Makete, mchagueni Mtweve iwapo atapitishwa kugombea nafasi hiyo.
 
NCHI NILIZOTEMBELEA
Ni Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda, Mozambique, Zanzibar na Malawi.
Kwa CV hii inaelekea haijui nchi yetu. Nchi hapo kwenye red haipo. Labda angekuwa anagombea jimbo la Mchambawima Znz angepewa kura zote. Kwa hili ameonyesha very low Profile ya uelewa wake hasa kwa GT.

Mkuu zanzibar ni nchi nenda bubu uandike hivo uone
 
Ahadi tuondolee yule mzee maana hana msaada kwetu,tumemchoka arudi kwao ubiluko hatufai
 
Wabunge wa ccm hawajawahi kuleta changamoto chanya ktk hili jimbo...!
 
Mtoa hoja umefanya vizuri kumtambulisha mtia nia, Lakini nadhani hukufanya vizuri kuanza kumshambulia mtia nia mwingine tena wa chama hicho hicho. Kimsingi makundi ndani ya vyama huanza kwasababu ya chuki kutengenezwa kati ya watia nia. Makete mpaka sasa ina watia nia 10 na inahitajika mgombea mmoja tu kuwakilisha Chama kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015. Hivyo basi Bada ya uteuzi wa mmoja kati ya watia nia kuwa Mgombea, wafuasi, wanachama na wapiga kura waliokuwa nyuma ya Mtia nia mmoja wanapaswa kuungana na mtia nia aliyeteuliwa kuwa mgombea. Kwa hali hiyo mtoa post kupandikiza maneno ya chuki, na kuzungumza vitu ambavyo vinaweza kuwafanya wanaomuunga mkono Mbogela kupata hasira inaweza sababisha wakapiga kura za hasira dhidi ya mgombea wetu atakayekuwa ameteuliwa kusimama kwa niaba ya Chama kweny uchaguzi.

Jambo lingine nadhani umeleta hili jambo to a wrong platform, JF ni ya kitaifa GT waliopo hapa wanadiscuss mambo ya Kitaifa na watu weye sura ya kitaifa. Sasa kuanzisha thread kuongelea habari za Mbogela na Ahadi hapa ni kuwapotezea watu muda wao, wengi wanabaki kujiuliza who is Ahadi by the way? so nadhani thread kama hii ungeiachia huko kwenye group zenu za Kimakete Makete ingefaa sana, hapa people are happy to hear something about Mnyika, Lissu or Sugu n.k Sio sisi akina naniii,, It is just a piece of advice.
 
Wana makete jitahidini kumuuza kwawapiga kura!hasa kule kwetu Maliwa bado wamelala
 
Mambo ya multiple ids ukisoma vizuri utaona singwa na Zanzibar-ASP pia kwa makini zaidi utagundua ndie mgombea mwenye we.
 
Back
Top Bottom