Watangazaji wa Morning Magic mnakera kwa kujionyesha wazi kuwa mnashabikia UKAWA

kabingo

Senior Member
Oct 16, 2015
115
118
Nimekuwa msikilizaji wa hawa watangazaji wa kipindi cha asubuhi kkinacho ongozwa na Orest mkambala na mamary Edward,Siku za nyuma walikuwa wawanatangaza na kuchambua mambo kwa umahili mkubwa lakini kadri Uchaguzi unavyosogea ndivyo wanajionyesha kuwa wa wanamapenzi au ni wafuasi was lowasa.Hasa yule Mary amekuwa akionyesha wazi wazi kuwa ni mfuasi was chadema,sio dhambi lakini mjue mnapo kuwa kazini tunasikiliza wenye itikadi tofauti.Mbona Kibwana Dachi ni mhaonyeshi yuko chama gani japo huwa anasema anakadi ya ccm.Acheni mambo hayo mkisoma magazeti Yale yanayomsema vvizuri lowasa mnayapa kipaumbele wakati yanayomhusu Magufuli mnasoma kwa kuponda.
 
Nimekuwa msikilizaji wa hawa watangazaji wa kipindi cha asubuhi kkinacho ongozwa na Orest mkambala na mamary Edward,Siku za nyuma walikuwa wawanatangaza na kuchambua mambo kwa umahili mkubwa lakini kadri Uchaguzi unavyosogea ndivyo wanajionyesha kuwa wa wanamapenzi au ni wafuasi was lowasa.Hasa yule Mary amekuwa akionyesha wazi wazi kuwa ni mfuasi was chadema,sio dhambi lakini mjue mnapo kuwa kazini tunasikiliza wenye itikadi tofauti.Mbona Kibwana Dachi ni mhaonyeshi yuko chama gani japo huwa anasema anakadi ya ccm.Acheni mambo hayo mkisoma magazeti Yale yanayomsema vvizuri lowasa mnayapa kipaumbele wakati yanayomhusu Magufuli mnasoma kwa kuponda.
mbona mkambala na kibwana dachi wanapigia promo ccm husemi? huyo msichana yy anakosoa na kuhoji pande zote ila hao mabwana huitaji kuambiwa wanampigia debe nani!
 
Nimekuwa msikilizaji wa hawa watangazaji wa kipindi cha asubuhi kkinacho ongozwa na Orest mkambala na mamary Edward,Siku za nyuma walikuwa wawanatangaza na kuchambua mambo kwa umahili mkubwa lakini kadri Uchaguzi unavyosogea ndivyo wanajionyesha kuwa wa wanamapenzi au ni wafuasi was lowasa.Hasa yule Mary amekuwa akionyesha wazi wazi kuwa ni mfuasi was chadema,sio dhambi lakini mjue mnapo kuwa kazini tunasikiliza wenye itikadi tofauti.Mbona Kibwana Dachi ni mhaonyeshi yuko chama gani japo huwa anasema anakadi ya ccm.Acheni mambo hayo mkisoma magazeti Yale yanayomsema vvizuri lowasa mnayapa kipaumbele wakati yanayomhusu Magufuli mnasoma kwa kuponda.

Usipoteze Muda Wako Na Hako Kadada Mary Edward. Elimu Yake Yenyewe Tu Ni Standard Seven Na Ana Basic Knowledge Tu Ya Journalism Na Kimepata Hapo Kazi Kwa Yale Mambo Yetu ( Nadhani Unayajua ) Na Sasa Kimepata Basha Mmoja Hivi Yupo UTAWALANI Nchini Ndiyo Anamuweka Mjini. Katokea Dodoma Enzi Hizo Na Hata UELEDI Kamili Wa UTANGAZAJI Hana Ila Anabebwa Tu Na Wataalam Akina Orest Kawau, Salum Mkambala Na Bingwa Wangu Mr. Knowlwdge a.k.a Kibwana Dachi Huku Bosi Wao Mkuu Dada Dina Chahali Akimkingia Kifua. Naomba Niishie Hapa Tafadhali!
 
Nimekuwa msikilizaji wa hawa watangazaji wa kipindi cha asubuhi kkinacho ongozwa na Orest mkambala na mamary Edward,Siku za nyuma walikuwa wawanatangaza na kuchambua mambo kwa umahili mkubwa lakini kadri Uchaguzi unavyosogea ndivyo wanajionyesha kuwa wa wanamapenzi au ni wafuasi was lowasa.Hasa yule Mary amekuwa akionyesha wazi wazi kuwa ni mfuasi was chadema,sio dhambi lakini mjue mnapo kuwa kazini tunasikiliza wenye itikadi tofauti.Mbona Kibwana Dachi ni mhaonyeshi yuko chama gani japo huwa anasema anakadi ya ccm.Acheni mambo hayo mkisoma magazeti Yale yanayomsema vvizuri lowasa mnayapa kipaumbele wakati yanayomhusu Magufuli mnasoma kwa kuponda.

Hujalazimishwa kuisikiliza hiyo Radio.
 
Kawau ni mchagga na ndio mwendeshaji wa vipindi unategemea nini.

Kumtenganisha Kawau Na UKAWA Ni Sawa Na Kumtenganisha Yesu Kristo Wa Nazareth Na Wayahudi. Kitu Ambacho Hakiwezekani! Kati Ya Wachagga 100 Utakaokutana Nao 89 Watakuambia Wao Ni UKAWA Isipokuwa Kwa Wachagga Wanaojitambua Kama Akina Davis Mosha Na Jerry Muro Na Wale Wachache Wamebakii Na Kukomaa Na CHAMA CHETU BORA NA KIZURI CHA CCM.
 
Kale ka merry hakana lolote zaidi yakubwabwaja pale ,kana asili yakichawi kama kabila lake la huko sumbawanga.Hakafai kuwa mke maana kuroga kwake ni jambo la lazima!
 
Kale ka merry hakana lolote zaidi yakubwabwaja pale ,kana asili yakichawi kama kabila lake la huko sumbawanga.Hakafai kuwa mke maana kuroga kwake ni jambo la lazima!

halafu hata mvuto hakana kale ka mama.......ujuaji mwingiiii..
 
Ulitaka asitangaZe kuwa makufuli kazomewa dar Es salaam ???? Ficha ujinga wako
 
Back
Top Bottom