Taarifa ya habari ITV imeeleza very clear kuwa ni posho ambazo hazipo kwenye waraka..
Dsm kuna kitu kinaitwa mpango motisha wa manispaa through that ndo zilikuwa zikilipwa!
Usishupae na punguza jazba kiongozi
Hilo na mtu mmoja kuchinja lisikupe shida hata mashine siku hizi zinachinja kwa msaada wa(......)
Kuhusu mwanamke kuchinja nimegusia ina taratbu zipi
#msemo
"UBORA WA MTI NI KURUNGE"
Sihitaji malumbano unapoandika ktu tumia basi hata busara na hekima kidogo lengo n kuepusha upotoshaji
Kwa upande wa kiislam mpk mwanamke kujinja ni kama vile haiwezekani ni kuna hatua nying sn za kufuatwa mpk afikie kuchija
Busara kwanza[emoji40]
Taratibu za kiislamu juu ya uchinjaji zipo wazi bora uulize kabla ya kuandika na kupotosha hata hvo pcha inajieleza ni kama anaigiza kuchinja kwan mbuzi hachinjwa na mtu mmoja
Tafakari[emoji40]
Tatzo hapa lilikuwa n kutokutoa taarifa mapema kwan inasemekan kulikuwa na wagonjwa wengi tayar na mmoja alishafariki kwahyo alkuwa anafanya isssue ya kupambana na kipindupindu kichinichini
Pole sn mgogoone Hii kitu imetuathiri sn mbaya zaid anaongea kiswnglish huku akizitengeneza nywele zile za kuvaa kama vile zake za asili.unajiuliza angekuwa na zake halis ndefu kama za kihindi ingekuwaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.