.....Yes mr.Warioba,Jaji hana time kujibu gonjera za huyo mtu......chezea Warioba,anasema hayo ni maoni ya ------!hayo ni maoni yake....logical answer.....mie najiuliza hivi akutoa maoni kwenye tume?.mwanbieni muda wa kutoa maoni ulishakwisha!
....Issue ya lake Nyasa border iko wazi kabisa kuwa mpaka umepita kati kati anayebisha hilo Tanganyika ni inchi APIGWE.....hakuna haja ya maneno mengi RISASI tunazo za kutosha.....
.....Kardinal Mwanya,sijui alisahau njia ya kwenda kwenye tume ya warioba na kwenda kutoa maoni yake ikulu!....amekosea sana sasa ona jina lakeinavyotumika kisanii.
UKAWA NAWAAMINI SANA WANALINDWA NA NGUVU YA UMMA WANASEMA NGOJA MJADALA UANZE ,HOJA ZA ------ NI DHAIFU SANA NA ZOTE ZINAJIBIKA KIRAHISI SANA HAZIWEZI KUSHINDANA NA ZA WARIOBA said (UKAWA TEAM)
Hivi hebu mnisaidie nyie magamba mliokimbilia kwa rpc kushitaki na kumfanya azuie chopa za chadema bila sababu eti zinapiga kelele !! Ebo huu ni ushamba wa rpc na ccm ,lakini kwa wanakalenga ndio usafiri wao waliouzoea, sasa swali kwenu mlioshindwa siasa za jukwaani mnakimbilia polisi .je? Chopa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.