Recent content by Ntakamwobhela

  1. Ntakamwobhela

    Je ulipenda kuwa nani ulipokuwa mdogo?

    Nilipenda Kuwa Mtu Wa usalama wa Taifa,kulinda nchi yangu, lkn mpaka Sasa naamn nitakuwa
  2. Ntakamwobhela

    Huduma ambazo siwezi kumfanyia mwanamke yeyote yule hapa duniani

    Jamii unayoishi nayo,inayafaham haya uliyoyaandika?
  3. Ntakamwobhela

    True story: Nimeamua kumkataa mtoto rasmi

    Dah!ndefu!ngoja nimalizie kibarua kwanza...
  4. Ntakamwobhela

    Mama wa miaka 50 ananitaka

    Mkuu,piga chini,na njia ya kupiga chini ni rahis tu,piga tofali achana nae
  5. Ntakamwobhela

    Siku ya kwanza kufanya mapenzi nili-sex na wanawake wawili

    Wewe Jamaa nakujua, ulikuwa Muha,unaishi bweni la Elgon!
  6. Ntakamwobhela

    Rafiki yangu kampa mimba mwanamke mtu mzima

    Hongera sana kuyafutana lishanhazi
  7. Ntakamwobhela

    Zijue mbinu 5 za kumtongoza msichana yeyote mrembo hadi akubali

    Maliza kwanza shule,unawezaje kuwa karbu na binti uliyekutana nae kwenye daladala!?
  8. Ntakamwobhela

    Nimependwa na mwanamke mtu mzima, naomba ushauri

    Vijana wa siku hizi bwana,sjui mkoje !anyway muoe tu! Lakn kumbuka,asiyeskia la mkuu,huvunjika guu
  9. Ntakamwobhela

    Je, unafahamu uume unaweza kunasa ukeni pindi unapojamiiana?

    Hao hunasa kwa sababu huingiwa na hofu ya usaliti, na hivyo akili kuwaza kinachotendeka si sawa hatmae mishipa hiyo hukaza na kuzuia uume usiweze kutoka
  10. Ntakamwobhela

    Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

    Kama unaujua utu,kwann usiwaze kulitatua tatzo lako kupitia kwa wanawake wenzio,na sio mwanaume?
  11. Ntakamwobhela

    Nimempelekea kadi ya mwaliko ya harusi X wangu

    Nakuona ukichepuka na ex wako kabla ya ndoa,maana dhahiri unampenda bado
Back
Top Bottom